Ahsante sanaUkiona discharge inatoka nyeupe ujue basi hakuna shida (hata binadamu wanawake hutoa discharge), I googled it wanasema nguruwe akipata discharge mda mwingine anakula sana vyakula venye calcium na phosphorus nyingi. Pengine inaweza kuwa yeast infection. .
Ila nimepigia daktari wa mifugo sasa wakati natype hivi kanijibu kwa miezi nane nguruwe wako yupo kwenye heat, mtafutie dume. .
Acha tafsida, Binaadamu pekee ndiye mwenye sehemu za siriHabar natumaini mu wazima
Nguruwe wangu anatoa ute mweupe sehemu yake ya siri
Kiumri ana miezi 8.
Naomba kujua hiki kinaashiria nini?
NB:hajawahi kupandwa wala kubeba mimbaView attachment 2241932
tuachie nyama yetu, hatuoni kinyaa.!Habar natumaini mu wazima
Nguruwe wangu anatoa ute mweupe sehemu yake ya siri
Kiumri ana miezi 8.
Naomba kujua hiki kinaashiria nini?
NB:hajawahi kupandwa wala kubeba mimbaView attachment 2241932
Acha tafsida, Binaadamu pekee ndiye mwenye sehemu za siri
UkeKwahyo tuiitaje
Sawa nmekupata hapo
Tafuta dume kama uke wake umevimba na umekuwa mwekundu.Kama uko Dar na una dume nijulishe nataka kupandisha nguruwe wanguHabar natumaini mu wazima
Nguruwe wangu anatoa ute mweupe sehemu yake ya Uke
Kiumri ana miezi 8.
Naomba kujua hiki kinaashiria nini?
NB:hajawahi kupandwa wala kubeba mimbaView attachment 2241932