Kuna siku jamaa mmoja katika pitapita zake alimwona mdada mzuri kwa mtazamo wake(siwezi sema kwa mtazamo wangu kwasababu kila mtu anatamani kile anachotamani/penda) alikua na shepu nzuri,sura ya kwawaida na bod kwa mbali basi yeye akamtamani
Basi siku nyingine alipomwona akapata shauku ya kumsogelea walau aongee Naye maneno mawili matatu na alipoongea naye wakabadilishana namba za simu kisha jamaa akasepa mida ya usiku wàkaanza kuchat jamaa akashusha mistari yule mdada akasitasita mwishowe alikubali siku chache baadaye jaamaa aliomba mechi na wakapanga sehemu YY yakupigia hiyo mechi
SIKU YA MECHI
Jamaa alijipanga na mdada akajpanga wakakutana wakatomasanatomasana. Ikafika zamu ya kuzama chumvini , sasa jamaa akawa anaingiza naniliuuu kwenye naniliuuu sasa ile anachomoa anakuta kama haichomoki kutoka kwa mdada
Basi jamaa akahisi labda kama anakosea akarudia tena kuchomoa ikagomea kwenye naniliu ya mdada yaani walinatiliana/waligandana
Jamaa alitulia kimyaa humo ndani na huyo mdada mpaka uvumilivu ukawashinda maana walivutana mpaka vijasho viliwatoka eti ilishindikana
Kumbe mdada ni mke Wa mtu walioana na mwenza muda si mrefu na inavoonesha aliyekua kamuoa alimzindika mkewe
Basi wahudumu katika kukuta watu wanachelewa huko ndani wakaamua kuingia kwakuforce ndipo wakastaajabu kuona watu wamegandana basi taarifa zilisambaa mpaka zikamfikia mwenye mke
Na kuwachomoa ni pale ambapo alikuja mwenye mke pamoja na baadhi ya wazee Wa mila. Na jamaa alipewa adhabu Kali na mwenye mke maana alikua amekasilika sana
Tokea hapo jamaa anawaogopa na kuwaheshimu wake za watu
UJUMBE
Tujihadhadhari na wake za watu maana siyo kila ukionacho kinakufaaa!!! Na siyo kila ukitamanicho ndicho. Ndicho utakachokipata maana vingine Mungu yupo kwaajili ya Kukuepusha na jambo baya.
Vipi wewe umshawahi kusikia/kuona wapi tukio kama hili?
Basi siku nyingine alipomwona akapata shauku ya kumsogelea walau aongee Naye maneno mawili matatu na alipoongea naye wakabadilishana namba za simu kisha jamaa akasepa mida ya usiku wàkaanza kuchat jamaa akashusha mistari yule mdada akasitasita mwishowe alikubali siku chache baadaye jaamaa aliomba mechi na wakapanga sehemu YY yakupigia hiyo mechi
SIKU YA MECHI
Jamaa alijipanga na mdada akajpanga wakakutana wakatomasanatomasana. Ikafika zamu ya kuzama chumvini , sasa jamaa akawa anaingiza naniliuuu kwenye naniliuuu sasa ile anachomoa anakuta kama haichomoki kutoka kwa mdada
Basi jamaa akahisi labda kama anakosea akarudia tena kuchomoa ikagomea kwenye naniliu ya mdada yaani walinatiliana/waligandana
Jamaa alitulia kimyaa humo ndani na huyo mdada mpaka uvumilivu ukawashinda maana walivutana mpaka vijasho viliwatoka eti ilishindikana
Kumbe mdada ni mke Wa mtu walioana na mwenza muda si mrefu na inavoonesha aliyekua kamuoa alimzindika mkewe
Basi wahudumu katika kukuta watu wanachelewa huko ndani wakaamua kuingia kwakuforce ndipo wakastaajabu kuona watu wamegandana basi taarifa zilisambaa mpaka zikamfikia mwenye mke
Na kuwachomoa ni pale ambapo alikuja mwenye mke pamoja na baadhi ya wazee Wa mila. Na jamaa alipewa adhabu Kali na mwenye mke maana alikua amekasilika sana
Tokea hapo jamaa anawaogopa na kuwaheshimu wake za watu
UJUMBE
Tujihadhadhari na wake za watu maana siyo kila ukionacho kinakufaaa!!! Na siyo kila ukitamanicho ndicho. Ndicho utakachokipata maana vingine Mungu yupo kwaajili ya Kukuepusha na jambo baya.
Vipi wewe umshawahi kusikia/kuona wapi tukio kama hili?