Habari Wana jukwaa nimekamatwa kweli kuna kitu kimeniingia jana jichoni Sasa kwa jana ile nikapotezea nikajua ni kilala nikaamka kitakuwa kishatoka maana ni Kawaida.
Sasa hii hali sio ya kawaida nilivyoamka Asubuhi nimekuta ile hali bado ipo jicho linatoa machozi tu nimejaribu njia mbali mbali...
Kwa wale mashabiki wa uefa champions league leo jioni tutegemehe kuona wababe wa ulaya nani na nani kukutana.
Mimi kwangu natamani sana hizi timu kuwa kundi moja.
Barcelona vs Man city
PSG vs Liverpool
Real madrid vs Chelsea
Bayern munich vs atletico madrid
Ni pale Istanbul Turkey
Pia...
Mungu akamuumba punda na kumwambia, “Utakuwa punda na kubeba mizigo ya kila mtu na utaishi miaka 40.” Punda akasema, "Kubeba mizigo ni sawa, lakini miaka 40 ni mingi kwangu, nipe miaka 30 tu." Mungu alitimiza matakwa yake.
Mungu alimuumba mbwa na kumwambia, “Utakuwa mbwa na unachunga mali ya...
Habari wana jamvi,
Hapo nyuma nilikuwa na sumbuliwa na tumbo kujaa gesi sasa lile tatizo lilipata kuisha sasa toka limeisha nimekua nabeua beua bila sababu hadi imegeuka kuwa kelo kwangu.
Mwenye anaweza kujua tiba ya hii kitu anambie maana imekuwa kelo mpaka mbele za watu inanitokea.
Habari wana jukwaa.
Nahitaji kujua bei ya bati za kawaida izi kwa mkoa wa mbeya Sio mtahalam sana wa mabati ila sio zile za msouth,ni bati tu zile zakawaida.
Sema futi za bati sizijui ningependa na orodha ya kila futi ya bati na orodha yake.
Asante.
Habari wana jamvi,
Ivi viongozi wetu upewa heshima kubwa wa endapo nchi za ulaya kama sisi tunazo wapa uku viongozi toka Ulaya.
Nataka kujua mtu kama:
1. Rais
2. Makamu wa Rais
3. Waziri mkuu
Wakienda Ulaya magari uzuiliwa nanjia kufungwa ili wapate kupita.
Maana sisi tuna wapa sana heshima...
Habari wana jamvi.
Naomba msaada tumbo langu naona limejaa sana gesi nashindwa mpaka kula vizuri.
Sijui shida ni nini maana nakula kidogo sana tumbo linakuwa lishajaa wakati sio kawaida naomba msaada ila choo bado na pata...
Ushauli tafadhali.
habari wanajamvi,
Nataka kujua kama naweza kupanda maharage na mahindi kwa pamoja ndani ya shamba moja. Yaani kwa mfano, hapa nimepanda mhuindi na apa maharage sehemu moja aiwezi kuleta shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.