allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,001
- 9,673
Habari Wana jukwaa nimekamatwa kweli kuna kitu kimeniingia jana jichoni Sasa kwa jana ile nikapotezea nikajua ni kilala nikaamka kitakuwa kishatoka maana ni Kawaida.
Sasa hii hali sio ya kawaida nilivyoamka Asubuhi nimekuta ile hali bado ipo jicho linatoa machozi tu nimejaribu njia mbali mbali kama kuangalia ndani ya maji kumiminiwa maji kwenye jicho na kuangalia kama kitaonekana lakini wapi.
Naitaji msahada naisi leo sitalala usiku kabisa kesho naona nikiamka na hii hali nabidi niwai hospital tu.
Kwa mtu yoyote mwenye anajua nitumie njia gani kutoa ichi kitu maana nimeomba watu wakiangalie akionekani ila kinanisumbua sana sorry kwa uandishi siwezi hata kuandika kwa raha kabisa.
Sasa hii hali sio ya kawaida nilivyoamka Asubuhi nimekuta ile hali bado ipo jicho linatoa machozi tu nimejaribu njia mbali mbali kama kuangalia ndani ya maji kumiminiwa maji kwenye jicho na kuangalia kama kitaonekana lakini wapi.
Naitaji msahada naisi leo sitalala usiku kabisa kesho naona nikiamka na hii hali nabidi niwai hospital tu.
Kwa mtu yoyote mwenye anajua nitumie njia gani kutoa ichi kitu maana nimeomba watu wakiangalie akionekani ila kinanisumbua sana sorry kwa uandishi siwezi hata kuandika kwa raha kabisa.