Habar wajasiriamali! Kuku wangu vifaranga wanaugonjwa ambao wanafumbua mdomo huku ukielekea juu kama wanapiga mihayo!! Je, ni ugonjwa gani huo na tiba yake ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hellow JF members.
Huwa nasikia kuna watu wenye ushawishi katika jamii.
Tafadhali naomba kujua sifa za watu wenye ushawishi katika jamii hapa Tanzania ikiwezekana na mifano ya majina yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka nilikuwa natoroka shule pale Nyanza primary miaka ya 90 navua shati halafu nazama kutazama TARZANI wewe je?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wazima jamani!
Mimi ndo nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji na nina muda wa mwezi sasa.
Tatizo vifaranga wangu wana ugonjwa wa mafua naweza kuwapa dawa gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau.
Samahani nina kuku wangu wameanza kutaga kwa mpigo sasa wanatabia ya kugombania mayai wakati wa kutaga.
Naomba mnisaidie njia ya kutatua tatizo hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
------------------------------------
Baadhi ya Michango
Habari wataalamu.
Nina miaka kama 10 nimekuwa nazunguka migodini kuchimba madini ya dhahabu bila mafanikio.
Nimepoteza kiasi cha sh.M.6.5 katika Maeneo ya Musoma Bhuhemba, Nyarugusu Stamico, Nyaruyeye Geita, Bingwa Lwamgasa na Kaseme.
Kuna kipindi nikiwa Mgodi wa Buziba Lwamgasa nilichimbisha...
Nimefuatilia mchuano huu na nimebaini kwamba baadhi ya majaji wanakatisha tamaa vipaji vipya kwa kutoa lugha za kejeri.Mfano wa lugha hizo ni kama vile
1. We huwezi kabisa
2.We unapiga kelele huimbi
3.Jaribu kutazama wasanii wengine.
Tujaribu kuwapa moyo vijana wetu si kuwavunja moyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.