Newword
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 326
- 299
Habar wajasiriamali! Kuku wangu vifaranga wanaugonjwa ambao wanafumbua mdomo huku ukielekea juu kama wanapiga mihayo!! Je, ni ugonjwa gani huo na tiba yake ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app