Newword
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 326
- 299
Wadau.
Samahani nina kuku wangu wameanza kutaga kwa mpigo sasa wanatabia ya kugombania mayai wakati wa kutaga.
Naomba mnisaidie njia ya kutatua tatizo hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
------------------------------------
Baadhi ya Michango
Samahani nina kuku wangu wameanza kutaga kwa mpigo sasa wanatabia ya kugombania mayai wakati wa kutaga.
Naomba mnisaidie njia ya kutatua tatizo hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
------------------------------------
Baadhi ya Michango
sehemu za kutagia zipo za kutosha? Maana mimi kuku wangu karibu 6 walikuwa wanataga sehemu moja nikatafuta tu madishi 4 nikatengeneza vitu vizuri mbona tatizo kiliisha mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app