Katibu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Neville Meena leo anarejea nchini kutoka Afrika Kusini alikokuwa anapata matibabu (check up).
Meena alikwenda Afrika Kusini Septemba 20, mwaka huu baada ya kuwa amelazwa Muhimbili kwa siku 12 kutokana na maumivu ya kichwa.
Madaktari wamempima na...
Wahariri salaam,
Nawajulisha kuwa muda mfupi uliopita Neville Meena amefanyiwa vipimo nchini Afrika Kusini na madaktari wanaendelea kumpatia tiba.
Madaktari wamesema tatizo alilokuwa nalo Meena ni la kawaida na wala halihitaji upasuaji.
Wamesema watamwangalia kwa siku chache kisha atarejea...
Leo nimefarijika sana baada ya Kamanda wa Usalama Barabarani Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ZTO), ACP Awadhi Haji kusimamia Sheria na kumwamuru askari wa Usalama Barabarani WP Beatrice alipe faini ilipobainika kuwa alitaka kumbikia kosa la kupita kwenye taa nyekundu Dereva wa Gazeti la JAMHURI...
Mwaka 2013 Gazeti la Jamhuri lilichapisha Habari ya Uchunguzi juu ya uharibifu wa Barabara na wakati huo aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ambaye sasa ni Rais wa Tanzania alimkatalia Waziri Mkuu wawakati huu Mizengo Pinda uzito wa Magari usizidi.
Alisema Sheria ndiyo isimamiwe na...
TANZANIA EDITORS FORUM (TEF)
Mkurugenzi Jamii Forums aachiwe mara moja
Kwa muda wa siku tatu sasa Jeshi la Polisi Tanzania linamshikilia Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Jamii Media Limited, Maxence Melo katika Kituo Kikuu cha Polisi Mkoa wa Dar es Salaam.
Hadi sasa, si Melo, familia yake...
TANGAZO:
Kampuni ya Jamhuri Media Limited wachapishaji wa Gazeti la Uchunguzi la JAMHURI inatangaza nafasi 2 za kazi ya uandishi wa Habari.
SIFA:
Mwombaji awe na Shahada ya Kwanza ya Uandishi wa Habari au Mawasiliano ya Umma.
Mwombaji awe na uwezo wa kuzungumza na kuandika kwa ufasaha...
Hawa ni marafiki. Mayala, Liongo na Mungi. Wamekaa meza moja kwenye mkutano wa World Press Freedom Day hapa Mwanza, lakini kila mtu yuko busy na simu yake ya mkononi, hawazungumzi pamoja na kuwa meza moja.
Sitanii, je, tutafika kwa mwendo huu? Ujadiliane.
Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na mijadala lukuki kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na biashara haramu ya madawa ya kulevya. Wapo wanaharakati na wanasiasa kadha wa kadha wamekuwa wakifanya jitihada za kutaka kutaja majina ya walio nyuma ya biashara hii, lakini mwishoni hupatwa na kigugumizi...
Ndugu Wanasimba,
Leo nikiwa katikati ya Jiji la Dar karibu na ofisi za gazeti letu JAMHURI nimekutana na mjadala ulionitoa jasho. Mjadala wenyewe unahusu mchezo wa leo kati ya Yanga na Azam.
Wapenzi wa Simba wanasema Yanga watagawa pointi kwa Azam. Yanga wanajitetea kuwa Azam inamilikiwa na...
Wakubwa baada ya gazeti la JAMHURI kuchapisha habari nyingi za uchunguzi, mwaka huu kwa mara nyingine tena limenyakua tuzo ya mwandishi bora.
Deodatus Balile, Mhariri Mtendaji wa Gazeti la JAMHURI ameibuka mshindi kwa kupata tuzo ya uandishi bora kwa Mwaka 2014.
Habari yake iliyoshinda ni ile...
Ndugu zangu uonevu umezidi katika nchi hii. Polisi Morogoro wanatisha. Kijana Fredy Mgaya anateseka rumande kwa kukosa rushwa.
Novemba Mwaka Jana Mke wa Rafiki yake, alikwenda nyumbani kwake. Akamwambia wamegombana na mumewe akasaidie kusuluhisha. Alipofika akakuta watu kadhaa, mara...
Na Deodatus Balile
Wiki mbili zilizopita nimepata fursa ya kusafiri kwenda Rwanda, Burundi na mkoani Kagera. Sehemu kubwa ya safari hii nilitumia gari. Nimepita nchi kavu kutoka Mwanza, Bukoba Mjini, Biharamulo hadi Ngara. Niliyoyaona yamenikumbusha nchi ilipokuwa miaka ya nyumba kwenye suala...
Vigogo wakwamisha vita ya unga nchini
Rais Kikwete asutwa kwa kutochukua hatua
Kamishna ataka kujiuzia gari la Tume, anena
Esther Bulaya avamiwa, asema wanalenga watoto
Vita dhidi ya dawa za kulevya nchini inazidi kuwa ngumu kutokana na viongozi wa juu wa nchi kukumbatia uozo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.