Deodatus Balile: Mwandishi Bora tuzo 2014

Balile

Member
Oct 10, 2011
74
140
Wakubwa baada ya gazeti la JAMHURI kuchapisha habari nyingi za uchunguzi, mwaka huu kwa mara nyingine tena limenyakua tuzo ya mwandishi bora.

Deodatus Balile, Mhariri Mtendaji wa Gazeti la JAMHURI ameibuka mshindi kwa kupata tuzo ya uandishi bora kwa Mwaka 2014.

Habari yake iliyoshinda ni ile iliyosaidia kuvunja mtandao wa dawa za kulevya nchini, ambapo Serikali baada ya habari hiyo imerekebisha sheria na sasa anayesafirisha dawa za kulevya ni kufungwa tu, hakuna faini.

Huu ni ushindi wa pili kwa gazeti la JAMHURI baada ya mwaka jana, Naibu Mhariri Mtendaji, Manyerere Jackton kushinda habari za uchunguzi katika eneo la Maliasili na Utalii.

Shukrani za pekee ziwaendee waandaaji wa tuzo na wafanyakazi wenzangu kwa ushirikiano mkubwa na kwa mara nyingine gazeti la JAMHURI limethibitisha kuwa TUNAANZIA WANAPOISHIA WENGINE.

Tafadhali endeleeni kutuunga mkono kwa kusoma gazeti LA JAMHURI.

Balile, D.
Mhariri Mtendaji,
Jamhuri Media Ltd
 

Attachments

  • 1430034486076.jpg
    1430034486076.jpg
    60 KB · Views: 616
Hongera sana mkuu . Umetoka mbali kaza uzi . Mkuu nitafute chemba tuseme .
 
Anastahili Sana Na Mno MTANI Wangu Wa KIHAYA Balile. Wakora Waitu Balile! Kama Nawaona Vile Watani Zangu Wahaya Kwa MIKOGO Sasa!
 
Hongera sana Balile kwa mchango wako katika kupambana na madawa ya kulevya. Nina swali dogo tu. Hivi ni kweli umejiridhisha kuwa Mtandao wa Dawa za kulevya umevunjwa kwa utungaji wa sheria hiyo uliyosema katika post ya kwanza ya uzi huu?
 
Wakubwa baada ya gazeti la JAMHURI kuchapisha habari nyingi za uchunguzi, mwaka huu kwa mara nyingine tena limenyakua tuzo ya mwandishi bora.

Deodatus Balile, Mhariri Mtendaji wa Gazeti la JAMHURI ameibuka mshindi kwa kupata tuzo ya uandishi bora kwa Mwaka 2014.

Habari yake iliyoshinda ni ile iliyosaidia kuvunja mtandao wa dawa za kulevya nchini, ambapo Serikali baada ya habari hiyo imerekebisha sheria na sasa anayesafirisha dawa za kulevya ni kufungwa tu, hakuna faini.

Huu ni ushindi wa pili kwa gazeti la JAMHURI baada ya mwaka jana, Naibu Mhariri Mtendaji, Manyerere Jackton kushinda habari za uchunguzi katika eneo la Maliasili na Utalii.

Shukrani za pekee ziwaendee waandaaji wa tuzo na wafanyakazi wenzangu kwa ushirikiano mkubwa na kwa mara nyingine gazeti la JAMHURI limethibitisha kuwa TUNAANZIA WANAPOISHIA WENGINE.

Tafadhali endeleeni kutuunga mkono kwa kusoma gazeti LA JAMHURI.

Balile, D.
Mhariri Mtendaji,
Jamhuri Media Ltd

Hii umeileta mwenyewe huku ili iweje? Kwako kazi ni kwa ajili ya kupata ujiko sio??
 
Mwandishi Deodatus Balile ameibuka mshindi katika tuzo za waandishi Bora nchini.

Hii ni mara ya pili Gazeti JAMHURI kutoa mwandishi bora baada ya Mwaka juzi Manyerere Jackton kunyakua tuzo ya mwandishi Bora katika Uchunguzi wa Habari za Maliasili.

Habari ya Balile iliyoshinda ni uchunguzi wa Dawa za Kulevya nchini.

Baada ya JAMHURI kuchunguza na kuandika kwa kina Serikali imebadili Sheria. Sasa anayekamatwa na Dawa za kulevya ni kifungo tu. Hakuna faini.

Asante wasomaji wetu, waandaaji na wafanyakazi wenzangu kwa mafanikio haya tuliyoyafikia.

Tafadhali tuendelee kulisoma gazeti JAMHURI kwa Habari zenye uchunguzi wa kina na ubora wa hali ya juu.

Balile
 

Attachments

  • 1430079783489.jpg
    1430079783489.jpg
    60 KB · Views: 179
Lkn huwa unaegemea ccm sana. Nilikuona kipindi cha BMK ulikuwa unapinga sana serikali tatu.
 
> Forum > General Forums > Jukwaa la Siasa > Balile aibuka Mwandishi Bora wa Habari za Uchunguzi 2014
Reply to Topic: Balile aibuka Mwandishi Bora wa Habari za Uchunguzi 2014
Message:
 
G4N soma Makala yangu ya Jaji Warioba turejeshee Tanganyika yetu kisha urejee maneno yako hapo juu.

Nilichopinga wakati ule na sasa naendelea kukipinga bila aibu ni Tanganyika na Zanzibar kupewa mamlaka kamili katika Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Kosa hili limeendelea kuwamo hata katika Katiba Inayopendekezwa na huo ndiyo utakuwa mwisho wa Tanzania.

Balile
 
Wakubwa baada ya gazeti la JAMHURI kuchapisha habari nyingi za uchunguzi, mwaka huu kwa mara nyingine tena limenyakua tuzo ya mwandishi bora.

Deodatus Balile, Mhariri Mtendaji wa Gazeti la JAMHURI ameibuka mshindi kwa kupata tuzo ya uandishi bora kwa Mwaka 2014.

Habari yake iliyoshinda ni ile iliyosaidia kuvunja mtandao wa dawa za kulevya nchini, ambapo Serikali baada ya habari hiyo imerekebisha sheria na sasa anayesafirisha dawa za kulevya ni kufungwa tu, hakuna faini.

Huu ni ushindi wa pili kwa gazeti la JAMHURI baada ya mwaka jana, Naibu Mhariri Mtendaji, Manyerere Jackton kushinda habari za uchunguzi katika eneo la Maliasili na Utalii.

Shukrani za pekee ziwaendee waandaaji wa tuzo na wafanyakazi wenzangu kwa ushirikiano mkubwa na kwa mara nyingine gazeti la JAMHURI limethibitisha kuwa TUNAANZIA WANAPOISHIA WENGINE.

Tafadhali endeleeni kutuunga mkono kwa kusoma gazeti LA JAMHURI.

Balile, D.
Mhariri Mtendaji,
Jamhuri Media Ltd

attachment.php
 
Kwanza nawashukuru nyote kwa pongezi. Nilikuwa mbali na mawasiliano kidogo.

Swali kuwa wahariri watendaji JAMHURI tuko wangapi, jibu ni mmoja Balile na Manyerere ni Naibu Mhariri Mtendaji.

Swali kama sheria kubadilishwa mtandao wa dawa za kulevya nchini umevunjwa, nitakuwa wa mwisho kuamini hivyo. Isipokuwa ninaloweza kusema kwa uhakika ni kwamba angalau kichaka kimoja tumekifyeka.

Tafadhali endeleeni kusoma JAMHURI.

Balile
 
Back
Top Bottom