Mwaka 2013 Gazeti la Jamhuri lilichapisha Habari ya Uchunguzi juu ya uharibifu wa Barabara na wakati huo aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ambaye sasa ni Rais wa Tanzania alimkatalia Waziri Mkuu wawakati huu Mizengo Pinda uzito wa Magari usizidi.
Alisema Sheria ndiyo isimamiwe na ameendelea na msimamo wake hadi sasa. Naamini hata mawaziri wengine wataiga mfano huu.
Wakisimamia Sheria, ipo siku Watanzania watawakumbuka.
Balile
Alisema Sheria ndiyo isimamiwe na ameendelea na msimamo wake hadi sasa. Naamini hata mawaziri wengine wataiga mfano huu.
Wakisimamia Sheria, ipo siku Watanzania watawakumbuka.
Balile