Huwa hataki ujue ukwelii, mwanzo wa hicho kitabu huanza na heli asomaye na kuyashika maana wakati wake u karibu kuja,
Hivyo huwa hataki ujue ukweli wa mambo yajayo na dunia itakavyokuwa
Hahahah madhara yake ndo hayoo sasa, kuna vitu vingine hutavipata darasani ila kupitia kujichanganya na watu.
Sasa huyu jamaa daah staki kuamini kama hakuwa anaijua lift before, sema ndo ashajifunza ingawa ni kwa gharama sasa
Samahani wanasheria wasomii, napenda kujua kuhusu sheria ya umiliki wa ardhi serikali la mitaaa, kwani tumekuwa tukiteswa na migambo na vuobgozi wa maendeleo kuhusu uharibifu wa mazibgira ,hata kama ukilima sehemu isiyokuwa ndani ya hidadhi wanakukamata na fine ni zaid ya laki 6.
Napenda...
Me kila nikifanya ngono na mpenzi wangu ,huwa sishuki hadi bao tatu ndo mzigo unasinyaa kama dk 10 hivi then unakuwa na uwezo wa kuamka ,nataka kujua tatizo ni nin?
Alivurugwa na manyonganyonga ya maths na physics, MT unazani ni mchezoo haijawai muacha mtu salama iyooo
Sent from my E500 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.