Wanajukwaa, Heri ya pasaka!
Poleni na magumu ya COVID-19.
BAADA YA SALAMU naomba nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Mwenzenu baada ya kuona maisha yamekuwa magumu nikaota ndoto ambayo nataka iwe kweli.
Wazo nililonalo ni kutafuta fremu ya biashara hapa mjini, nikishaipata...
Habari za leo wadau,
Naomba kufahamishwa taratibu za kuanzisha Microfinance.
Naomba kujua mtaji kianzio, namna zinavyofanya kazi, aina ya wateja na mengineyo ambayo sijayataja hapa.
NAOMBA KUWASILISHA
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar za leo jukwaa
Naomba kutoa maoni yangu juu ya staili ya uchezaji wa ndugu yetu SAMMATA
Jinsi nilivyomuona jamaa, kama vile anacheza kifaza zaidi, hii si mara ya kwanza kumuona akicheza vile ,maana hata timu ya taifa yaan TAIFA STARS, jamaa amekuwa akilalamikiwa sana kwamba hajitumi...
Habari za leo wanajukwaa
Nijikite moja kwa moja kwenye hoja, haya ni maoni yangu binafsi na ushauri binafsi.
Ningekuwa kiongozi mkuu wa Iran, ningeomba tukae meza ya mazungumzo na kiongozi wa USA ili kuepusha uwezekano wa kutokea kwa vita. Nasema hivi nikiwa na sababu kwamba kama leo hii USA...
Wataalamu, naomba kujua siri iliyojificha kwenye minada ya hadhara. Je vifaa wanavyouza ni kweli vinakuwa vimechukuliwa kwa wafanyabiashara walioshindwa kurudisha mikopo?
Je hizi bidhaa sio fake?
Sent using Jamii Forums mobile app
TID ni mwenzangu pia, Toto la mama.
Najuwa fika huu uzi umefungua kwa ajili ya TID
maana umaliziaji wake unamlenga yeye
Ebu tuambie,kwan TID ni mtoto wa mama???
Sent using Jamii Forums mobile app
Mc Pilipili kila siku zinavyokwenda unazidi kutuaibisha wagogo
Inakuwaje mwanaume unalia mbele ya mkeo tena mbele ya media
Ilitokea ulizuzuka wakat unamtambulisha
Hata baada ya kumuoa bado unadeka tu
Kaaaa,sisi wagogo tunaomba tuwauzie wachaga na wahaya huyu mtu maana kajaa sifa
TAARIFA INASEMA AMEKABIDHI PICHA NA MICHORO YA JENGO HILO
HAPO INA MAANA KWAMBA SIYO JENGO LILILOKAMILIKA ILA NI JENGO AMBALO LIPO KWENYE MAKARATASI KWA HIYO YATAKIWA WAO WALIJENGE MAANA KATI YA WIZARA AMBAZO ZILIKUWA BADO HAZIJAFIKIRIA KUJENGO OFISI NI HIYO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.