Si ajabu alikua anapewa sinia la maandazi akauze ili mama apate hela ya unga na mboga. Usishangae kuwa baba yake alikua na wake sita na wala majina ya watoto wengine hayajui.
Bei ya mfuko sijafahamu lakini nitaulizia, ukubwa wake ni sawa na bakuli la choo hivyo hata kama una contipation ya wiki inaweza kubeba.
Bei ya choo ni £700
Kutokana na ongezeko mabadiliko ya hali ya hewa, kuongezeka kwa shughuli za uchumi zinazoharibu mali asili. Uhaba wa maji duniani unatabiriwa huko siku za mbele.
Wataalamu wamekuja na choo cha ndani kisichotumia maji. Unaweka mfuko kama lining ndani ya choo, ukimaliza shughuli kuna kifute...
Miaka 8 mtoto anaanza kujitambua kama amependeza. Hapa ukimvalisha maroronya mnakwenda kwenye party anaweza kugoma kwenda. Hapa mzazi kuwa makini kuhakikisha mtoto ni msafi hii inamjengea kujiamini akiwa mbele ya wenzake.
11-12 wengine wanaingia puberty age, hapa anaanza kupenda kupendeza...
Hata Sophia Simba alipovuliwa uwananchama wa CCM Speaker aliufuta ubunge wake lakini ni Speaker huyohuyo anaomba muhtasari wa kikao cha kuwafuta Ubunge Mzee Halima na wenzake pamoja na Katiba ya Chadema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.