Kwenye jamii iliojijengea kufuata utaratibu wa kufanya mambo ya Serikali kwa kufuata sheria alafu ikatokea hiyo jamii ikaacha na kudharau utaratibu huo basi apo hiyo jamii inachimba kaburi na kupanda mbegu ya kifo.
Hamna shaka lolote kua nchi yetu Tanzania tulijiwekea utamaduni mzuri wa...
Hakuna jamii Duniani isiyopenda maendeleo ya jamii nzima,taifa na mtu. Ili kuleta maendeleo lazma nasi kama nchi tufanya maamuzi au kundi dogo lifanye maamuzi katika ili. Naomba nitumie mifano ya vinara wawili Duniani waliowai kuongoza nchi na kutikisa Dunia.
Andrea Amilcare Benito Mussolini na...
Wanabodi,kama kuna mtu ambae hapo siku za nyuma hasa awamu ya nne alionekana kuwa mahili wa kuhoji Serikali na kuisahihisha ni pamoja na Bwn.Paschal Mayalla. Watu wengi waliweza kumfuatilia na kujifunza mengi hasa kwenye vipindi vya runinga chini ya PPRA nk.
Lakini pia wakati wa mwanzoni...
Leo nimejiuliza mambo maswali mengi kuhusu ili. Nimejiuliza tena kua kweli watanzania asa wasomi,wanasheria na wana harakati kua bado wanatuaminisha kua CCM ni Chama cha Siasa?
Msajiri wa vyama vya Siasa bila shaka yeye si mtu wa kusimamia haki na utawala wa sheria. Kuna matokeo mengi tumeyaona...
Ndugu wanajamvi ,mara zote natumia maneno machache ila yenye ujumbe. Bara la Afrika limekuwa linapoteza pesa nyingi baada ya viongozi wengi asa marais kufanya tofauti na taratibu asa katika mikataba ya kiuchumi.
Yametokea sana kwa nchi jirani kama DRC,Nigeria ata Senegal. Makampuni kama BP na...
Nimesubiri kwenye mitandao ya Twitter pamoja na kutembela tofuti ya Ikulu ila sijaona nilichokua nakitafuta.
Nchi ya Misri imeondokewa wa Rais wake wa kwanza wa kuchaguliwa na wananchi Bw.Mohamadd Morsi.
Bw. Morsi alifariki juzi akiwa kwenye kizimba cha mahakamani huku akisubiri kujibu...
Habari zenu wanajamvi na watanzania kwa ujumla. Ukweli ni kuwa utu wetu,umoja wetu ,upendo wetu,Uhuru wetu na uhai wetu upo matatani na mashakani. Katiba yetu mpaka sasa ipo chini ya mtu..Katiba imetekwa(Illegal Constitutional Arrest) watetezi wa katiba nao wamechoka maana mpaka sasa awawezi...
Wanabodi, mataifa yote ulimwenguni utegemea kuendesha mambo yao ya kijamii,kisiasa na kiuchumi kwa kutumia kodi zinazo lipwa na wananchi. Hii maana yake ni kwamba kodi ni msingi mkubwa wa maendeleo ya Taifa lolote. Lakini pia mataifa yote yameweka utaratibu wa kisheria na kikanuni kua mapato...
Wana jamvi ,bila shaka wengi tulitarajia CHADEMA kiwe chama makini sana katika siasa za Tanzania. Watanzania wengi na zaidi vijana wengi waliweka matumaini makubwa kuwa CHADAMA kama chama sahihi kimachoweza kuwaongoza watanzania kufika pale ambapo wengi wangetamani Taifa ili lifike.
Moja ya...
Wanabodi ,watu wengi wanatabia ya kusahau kua jinai ata ipite miaka mingapi kama mtu aliyeshiriki hiyo jina yupo hai lazma tu siku ikifika atawajibika.
Kuna watu walifanya jinai wakati wa vita ya kwanza naya pili ya Dunia leo hii ndiyo wamefikishwa mahakamani na kukutwa na hatia. Sasa wafuatao...
Tarehe kama ya leo mwaka 1972 yalitokea mauaji ya aliyewai kua Rais wa Zanzibar kwa miezi mitatu tu.
Wakati tunakumbuka mazuri yako pia tunachukua ata muda mwingi kukimbuka jinsi ulivyoshiriki kuuzima na kuufuta Uhuru wa watu wa Zanzibar pamoja na harakati za usawa baada ya mapinduzi...
Wanajamvi asa wale wafuatiliaji wa mambo ya siasa mnaweza kukubaliana na mimi kuhusu ili. Katika nchi ambazo mpaka leo zipo chini ya chama kilichoshiriki kupigania Uhuru na kuanzisha mfumo wa chama kimoja (Monoparty -Authoritarian) ni ngumu sana vyama vya upinzani kupata ridhaa ya kuongoza...
Wana wa Jamiiforum habari zenu...
Leo tena nasema na watanzania ninyi kuhusu ili anguko la CCM kwa mara ya kwanza kwenye Historia take tangu kishike madaraka. Ni mambo makuu ambayo dhairi shairi yanaenda kumuangusha Magufuli mwaka 2020. Mambo aya watangulizi wake walifanya kadri wawezavyo kwa...
Habari za wanajamvi? Ni siku nyingi nishike karam kuandika apa jamvini ingawa nami ni moja ya wakongwe wa JF kwa kiasi flani.
Niende moja kwa moja kwenye mada yangu kama ilivyo andikwa apo juu. Nina imani kuwa jamii lazma iwe na viongozi au watawala. Mfano kijiji ,koo na Taifa. Leo nitajikita...
Wadau wa mpira asa wazee wamikeka naomba msaada kunijurisha wapi ofisi za hao jamaa zilipo asa hapa Mwanza au DSM. Nimeamua kuwafuata by face maana simu hawapokei kabisa...Kuna mechi nilibet sita tano zilichezwa na zikatiki moja ya Racing Club na Tigre ilisimamishwa 8/04/2017 lakini jana...
Wanajamvi leo imetimia wiki tangu ni bet kupitia Mbet Multiple na Mbet Normal...kwenye simu yaani internet na pesa ndefu nilitumia kubet lakini cha ajabu mpaka leo sijalipwa kiasi nilichoshinda na nikipiga simu yaani inaita bila kupokelewa..Je nini kimetokea kama kampuni inafungwa au kufirisika...
Bila shaka wanajamvi mko salama, kwakweli nimefuatilia sana kauli za mkuu wetu wa nchi kwa muda mrefu na leo naomba niongee yafuatayo. Hakuna ubishi kua tangu Mh. Magufuli tangu uapishwe kua rais wa nchi hii na badae mwenyekiti wetu wa CCM kuna mambo umefanya vizuri lakini kuna mengi kweli...
WanaCCM bila shaka tumeona na kutambua kua Mwenyekiti wetu wa chama na Rais wa nchi hii sio tena halali yake kugombea nafasi anazo ziongoza kwa sasa. Ni ukweli usio pingika kua Mh. Magufuli amekosa ueledi ambao kweli wanaccm na watanzania tulidhani na kuamini kua anao. Mambo mengi yamefanyika...
Wanajamvi kwanza niwape salaam,habari zenu. Ni siku nyingi tangu kuingia kwa utawala wa awamu ya tano tukiwa tunasikia na kuaminishwa dhana hii ya mabadiriko ndani ya ccm ingawa mpaka leo hii wakati wa vikao mbali mbali vya ccm vikiendelea bado watanzania atujajua ni mabadiriko ya nini na ni...
Habari zenu wanajamvi,bila shaka watanzania wengi tunashudia harakati za kisiasa tena ambazo ni mbaya na hatari kwa taifa letu zinazofanywa na upande wa upinzani mfano kuidai Demokrasia,Uhuru wa Habari na kuwepo kwa matatizo ambao kimsingi yawezekana ni kweli mfano kauli mbaya zinazotolewa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.