Tufanya hivi baada ya Magufuli kutoka

Alexism

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
3,423
2,045
Ndugu wanajamvi ,mara zote natumia maneno machache ila yenye ujumbe. Bara la Afrika limekuwa linapoteza pesa nyingi baada ya viongozi wengi asa marais kufanya tofauti na taratibu asa katika mikataba ya kiuchumi.

Yametokea sana kwa nchi jirani kama DRC,Nigeria ata Senegal. Makampuni kama BP na Shell zimewatumia viongozi kufanya mikataba ya siri yenye rushwa.

Apa Tanzania kuna mambo yamefanyika bila kuwepo uwazi kabisa.

1.Kandarasi ya SGR
2.Kandarasi ya Umeme inayoshirikisha mkadarasi kutoka Misri
3. Ununuzi wa ndege bila uwazi

Itakuwa kazi ya lazima na muhimu kufanyika ukaguzi wa juu ili kuangalia jimsi hizo Kandarasi zilivyotolewa.

JPM bila shaka atakua tayari kushirikiana na wakaguzi baada ya kumaliza muda wake.
 
Ndugu wanajamvi ,mara zote natumia maneno machache ila yenye ujumbe. Bara la Afrika limekua linapoteza pesa nyingi baada ya viongozi wengi asa marais kufanya tofauti na taratibu asa katika mikataba ya kiuchumi.Yametokea sana kwa nchi jirani kama DRC,Nigeria ata Senegal. Makampuni kama BP na Shell zimewatumia viongozi kufanya mikataba ya siri yenye rushwa.
Apa Tanzania kuna mambo yamefanyika bila kuwepo uwazi kabisa.
1.Kandarasi ya SGR
2.Kandarasi ya Umeme inayoshirikisha mkadarasi kutoka Misri
3. Ununuzi wa ndege bila uwazi
Itakua kazi ya lazma na muhimu kufanyika ukaguzi wa juu ili kuangalia jimsi hizo Kandarasi zilivyotolewa.
JPM bila shaka atakua tayari kushirikiana na wakaguzi baada ya kumaliza muda wake.
NA ATATHIBITISHA UZALENDO WAKE KWA VITENDO.
 
Uwazi gani unaoutaka wewe wakati hafla ilifanyika wazi na utiaji saini ulishuhudiwa mbele ya Rais na wageni kutoka misri.uwazi gani unaouzungumzia.. ulitaka upewe mkataba wote ukae nao chumbani uusome?fanya kazi babu
 
Uwazi gani unaoutaka wewe wakati hafla ilifanyika wazi na utiaji saini ulishuhudiwa mbele ya Rais na wageni kutoka misri.uwazi gani unaouzungumzia.. ulitaka upewe mkataba wote ukae nao chumbani uusome?fanya kazi babu
Ahsante kwa kujiita ndege John kwanza. Ata hizo nchi zilizogubikwa mikataba yenye rushwa zilirushwa mubashara tu...Apa tunazumzia kufanya ukaguzi wa kandarasi kumbuka sio uwazi wa hafla za kuweka saini.
 
Ndugu wanajamvi ,mara zote natumia maneno machache ila yenye ujumbe. Bara la Afrika limekuwa linapoteza pesa nyingi baada ya viongozi wengi asa marais kufanya tofauti na taratibu asa katika mikataba ya kiuchumi.

Yametokea sana kwa nchi jirani kama DRC,Nigeria ata Senegal. Makampuni kama BP na Shell zimewatumia viongozi kufanya mikataba ya siri yenye rushwa.

Apa Tanzania kuna mambo yamefanyika bila kuwepo uwazi kabisa.

1.Kandarasi ya SGR
2.Kandarasi ya Umeme inayoshirikisha mkadarasi kutoka Misri
3. Ununuzi wa ndege bila uwazi

Itakuwa kazi ya lazima na muhimu kufanyika ukaguzi wa juu ili kuangalia jimsi hizo Kandarasi zilivyotolewa.

JPM bila shaka atakua tayari kushirikiana na wakaguzi baada ya kumaliza muda wake.

Ilitakiwa jambo jema.
 
Tunamkumbusha tu awe tayari kushirikiana wazalendo kukagua kila mradi asa kuanzia hizo kandarasi.

Nitakapo chaguliwa kupitia chama changu pendwa cha ccm kumrithi mzee magu, nitawashauri tu ndugu zangu watanzania kwa maneno haya machache; nanukuu, " Mwacheni mzee apumzike! ameifanyia mambo makubwa sana nchi yetu katika kipindi chake chote cha uongozi wake makini" Mwisho wa kunukuu.
 
Nitakapo chaguliwa kupitia chama changu pendwa cha ccm kumrithi mzee magu, nitawashauri tu ndugu zangu watanzania kwa maneno haya machache; nanukuu, " Mwacheni mzee apumzike! ameifanyia mambo makubwa sana nchi yetu katika kipindi chake chote cha uongozi wake makini" Mwisho wa kunukuu.
Tunakagua miradi na kandarasi kumbuka si kwamba tunamkagua JPM
 
Kurudisha umoja wa kitaifa itakiwa ni kazi ngumu mno ila lazima tuifanye mara moja...
 
Apa ndiyo tunasisitiza public auditing na sivinginevyo.
 
Back
Top Bottom