Mambo 8 yanayoenda kumuangusha Magufuli 2020

Alexism

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
3,423
2,046
Wana wa Jamiiforum habari zenu...
Leo tena nasema na watanzania ninyi kuhusu ili anguko la CCM kwa mara ya kwanza kwenye Historia take tangu kishike madaraka. Ni mambo makuu ambayo dhairi shairi yanaenda kumuangusha Magufuli mwaka 2020. Mambo aya watangulizi wake walifanya kadri wawezavyo kwa ustadi mkubwa ili yaende vizuri ili kulinda nafasi zao na chama lakini kwa awamu hii mambo aya imeshindikana kuyafanyia kazi na mwisho ni kuangushwa CCM na vyama (chama)vingine kuchukua nafasi.

1.MISHAHARA KWA WATUMISHI
Awamu ya tano imeshindwa kabisa kuwaongezea mishahara watumishi wa umma kama kanuni za ajira zinavyosema.Kosa ili limetengeneza hasira na msongo wa mawazo kwa watumishi mpaka kufikia kuchukia kazi na majukum yao. Watumishi wa umma pia wamekumbwa na changamoto ya vitisho,kejeri na dharau kutoka kwa viongozi wa kisiasa kama Rc.Makonda,Rc.Hapi ,DC Murro nk. Sasa kuna nafasi kubwa watumishi wasitii au kukipigia kula chama cha CCM.

2.WAKULIMA
Ili ndo kundi kubwa la wapiga kula apa nchini..lakini kwa awamu hii maisha yao yamekua makugumu sana ...mfano wakulima wa Korosho,Kahawa na Mbaazi mpaka leo wanalia na kusaga meno kwa kilichofanyika na maamuzi yaliyofanywa na serikali ya CCM. Wengi wamekata tamaa na maisha kwani malipo na mauzo ya mazao yao imekuwa tabu...
Katika kundi ili pia kuna wafugaji ambao mifugo yao imetaifishwa,wavuvi ambao wamerudi kwenye sufuri au moja baada ya kupitia na mambo mbali mbali kama kuchoma nyavu..nk

3.AJIRA
Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna nchi ambayo inaweza kuajiri watu wote lakini pia hakuna nchi ambayo inashindwa kufanya mbadala ili watu wake wapate kuajiriwa au kujiajiri. Awamu ya tano imefanya vibaya katika ili asa kwenye kada na taaluma mbali mbali kama Afya,Sheria,Elimu,Ukandarasi n.k ..Jambo ili limewafanya wahitimu wa vyuo au mashule kupoteza matumaini na kuona kuwa serikali ya awamu hii ni mbaya kuliko za nyuma maana ziliweza kutengeneza nafasi za ajira kila mwaka.

4. ASASI ZA KIRAIA
Huku nako mambo si shwari...maana nyingi zimevutiwa usajiri au kupewa onyo na miongozo katika utendaji wao.Nyingine zimeingiliwa au viongozi wake kujikuta kwenye matatizo na serikali kwa sababu ya mitazamo..mfano REDET and TWAWEZA..
Asasi za kiraia zilikuwa na mchango mkubwa kwenye jamiii lakini sasa mambo siyo..wamefungwa midomo na jamii imepoteza mengi mfano elimu ya uraia,taarifa,misaada ,ajira...n.k

Itaendelea
5,6,7,8

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa JPM anaweza kuangushwa, swali ukiwa umebaki mwaka mmoja kabla ya uchaguzi uyo anayekwenda kumuangusha JPM ni nani na ukilinganisha na JPM amewai kufanya nini ili ukimlinganisha na JPM awe mwenye kuaminika kwa maana ni kazi zako kwa wananchi ndizo zitakazo kubeba au ndio tusubiri yule atakaye katwa na CCM na kunyakuliwa na Upinzani ndio wapambane na JPM ?

Maana sioni atakaye ishinda CCM nje ya CCM labda utokee mpasuko ndani ya chama chao kama ilivyo wai kutokea kwa KANU.

Nje ya apo ni jambo la kuendelea kusubiri na inaweza kuchukua miaka kadhaa uko mbele na CCM ikaanguka. Labda wajukuu zako wanaweza waka shuhudia au wajukuu wa wajukuu zako .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hayo mambo yote uliyoyataja yanaweza kuwa ni mambo yenye mantiki kwa kiasi kikubwa, lakini kwa bahati mbaya au nzuri hayawezi kumuangusha hiyo 2020 kwa namna yoyote ile. Ushindi uko pale pale tena wa kishindo. Just wait and see.

Na sababu ziko wazi kabisa; Kutokuwepo kwa tume huru na isiyo na mashaka kabisa ya uchaguzi, baadhi ya vyombo vya dola miaka nenda kuhisiwa kutumika kisiasa au kuegemea upande fulani, nk. Bahati mbaya zaidi, vyama vya upinzani vipo kimya tu kwa sasa huku vikisubiria uchaguzi ufanyike na mwisho wa siku kuishia tu kulalamika baada ya matokeo ya kwamba wameibiwa kura, matokeo kupindishwa, nk.
 
Muheshimiwa Raisi mpaka sasa anaongoza 8-0 na hiki ni kipindi cha majeruhi dakika ya 85 na hakuna dakika za nyongeza ata kama unataka ku-bet unaruhusiwa
 
Aangunge mara ngapi, alishashindwa kabla ya kuanza. Au ujamsikia Nape, wamempa dhamana, kageuga "CHINJA CHINJA"
 
Wana wa Jamiiforum habari zenu...
Leo tena nasema na watanzania ninyi kuhusu ili anguko la CCM kwa mara ya kwanza kwenye Historia take tangu kishike madaraka. Ni mambo makuu ambayo dhairi shairi yanaenda kumuangusha Magufuli mwaka 2020. Mambo aya watangulizi wake walifanya kadri wawezavyo kwa ustadi mkubwa ili yaende vizuri ili kulinda nafasi zao na chama lakini kwa awamu hii mambo aya imeshindikana kuyafanyia kazi na mwisho ni kuangushwa CCM na vyama (chama)vingine kuchukua nafasi.

1.MISHAHARA KWA WATUMISHI
Awamu ya tano imeshindwa kabisa kuwaongezea mishahara watumishi wa umma kama kanuni za ajira zinavyosema.Kosa ili limetengeneza hasira na msongo wa mawazo kwa watumishi mpaka kufikia kuchukia kazi na majukum yao. Watumishi wa umma pia wamekumbwa na changamoto ya vitisho,kejeri na dharau kutoka kwa viongozi wa kisiasa kama Rc.Makonda,Rc.Hapi ,DC Murro nk. Sasa kuna nafasi kubwa watumishi wasitii au kukipigia kula chama cha CCM.

2.WAKULIMA
Ili ndo kundi kubwa la wapiga kula apa nchini..lakini kwa awamu hii maisha yao yamekua makugumu sana ...mfano wakulima wa Korosho,Kahawa na Mbaazi mpaka leo wanalia na kusaga meno kwa kilichofanyika na maamuzi yaliyofanywa na serikali ya CCM. Wengi wamekata tamaa na maisha kwani malipo na mauzo ya mazao yao imekuwa tabu...
Katika kundi ili pia kuna wafugaji ambao mifugo yao imetaifishwa,wavuvi ambao wamerudi kwenye sufuri au moja baada ya kupitia na mambo mbali mbali kama kuchoma nyavu..nk

3.AJIRA
Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna nchi ambayo inaweza kuajiri watu wote lakini pia hakuna nchi ambayo inashindwa kufanya mbadala ili watu wake wapate kuajiriwa au kujiajiri. Awamu ya tano imefanya vibaya katika ili asa kwenye kada na taaluma mbali mbali kama Afya,Sheria,Elimu,Ukandarasi n.k ..Jambo ili limewafanya wahitimu wa vyuo au mashule kupoteza matumaini na kuona kuwa serikali ya awamu hii ni mbaya kuliko za nyuma maana ziliweza kutengeneza nafasi za ajira kila mwaka.

4. ASASI ZA KIRAIA
Huku nako mambo si shwari...maana nyingi zimevutiwa usajiri au kupewa onyo na miongozo katika utendaji wao.Nyingine zimeingiliwa au viongozi wake kujikuta kwenye matatizo na serikali kwa sababu ya mitazamo..mfano REDET and TWAWEZA..
Asasi za kiraia zilikuwa na mchango mkubwa kwenye jamiii lakini sasa mambo siyo..wamefungwa midomo na jamii imepoteza mengi mfano elimu ya uraia,taarifa,misaada ,ajira...n.k

Itaendelea
5,6,7,8

Sent using Jamii Forums mobile app
USISUMBUKE SANA 2020 TUNAONDOKA NA MBOBEZI BENARD MEMBE ! HUO NI MPAMGO MZIMA TUNAMWITAJI ILI KUWEKA SAWA UTARATIBU WA NCHI
 
Wana wa Jamiiforum habari zenu...
Leo tena nasema na watanzania ninyi kuhusu ili anguko la CCM kwa mara ya kwanza kwenye Historia take tangu kishike madaraka. Ni mambo makuu ambayo dhairi shairi yanaenda kumuangusha Magufuli mwaka 2020. Mambo aya watangulizi wake walifanya kadri wawezavyo kwa ustadi mkubwa ili yaende vizuri ili kulinda nafasi zao na chama lakini kwa awamu hii mambo aya imeshindikana kuyafanyia kazi na mwisho ni kuangushwa CCM na vyama (chama)vingine kuchukua nafasi.

1.MISHAHARA KWA WATUMISHI
Awamu ya tano imeshindwa kabisa kuwaongezea mishahara watumishi wa umma kama kanuni za ajira zinavyosema.Kosa ili limetengeneza hasira na msongo wa mawazo kwa watumishi mpaka kufikia kuchukia kazi na majukum yao. Watumishi wa umma pia wamekumbwa na changamoto ya vitisho,kejeri na dharau kutoka kwa viongozi wa kisiasa kama Rc.Makonda,Rc.Hapi ,DC Murro nk. Sasa kuna nafasi kubwa watumishi wasitii au kukipigia kula chama cha CCM.

2.WAKULIMA
Ili ndo kundi kubwa la wapiga kula apa nchini..lakini kwa awamu hii maisha yao yamekua makugumu sana ...mfano wakulima wa Korosho,Kahawa na Mbaazi mpaka leo wanalia na kusaga meno kwa kilichofanyika na maamuzi yaliyofanywa na serikali ya CCM. Wengi wamekata tamaa na maisha kwani malipo na mauzo ya mazao yao imekuwa tabu...
Katika kundi ili pia kuna wafugaji ambao mifugo yao imetaifishwa,wavuvi ambao wamerudi kwenye sufuri au moja baada ya kupitia na mambo mbali mbali kama kuchoma nyavu..nk

3.AJIRA
Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna nchi ambayo inaweza kuajiri watu wote lakini pia hakuna nchi ambayo inashindwa kufanya mbadala ili watu wake wapate kuajiriwa au kujiajiri. Awamu ya tano imefanya vibaya katika ili asa kwenye kada na taaluma mbali mbali kama Afya,Sheria,Elimu,Ukandarasi n.k ..Jambo ili limewafanya wahitimu wa vyuo au mashule kupoteza matumaini na kuona kuwa serikali ya awamu hii ni mbaya kuliko za nyuma maana ziliweza kutengeneza nafasi za ajira kila mwaka.

4. ASASI ZA KIRAIA
Huku nako mambo si shwari...maana nyingi zimevutiwa usajiri au kupewa onyo na miongozo katika utendaji wao.Nyingine zimeingiliwa au viongozi wake kujikuta kwenye matatizo na serikali kwa sababu ya mitazamo..mfano REDET and TWAWEZA..
Asasi za kiraia zilikuwa na mchango mkubwa kwenye jamiii lakini sasa mambo siyo..wamefungwa midomo na jamii imepoteza mengi mfano elimu ya uraia,taarifa,misaada ,ajira...n.k

Itaendelea
5,6,7,8

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Rais analaana.
 
Sawa JPM anaweza kuangushwa, swali ukiwa umebaki mwaka mmoja kabla ya uchaguzi uyo anayekwenda kumuangusha JPM ni nani na ukilinganisha na JPM amewai kufanya nini ili ukimlinganisha na JPM awe mwenye kuaminika kwa maana ni kazi zako kwa wananchi ndizo zitakazo kubeba au ndio tusubiri yule atakaye katwa na CCM na kunyakuliwa na Upinzani ndio wapambane na JPM ?

Maana sioni atakaye ishinda CCM nje ya CCM labda utokee mpasuko ndani ya chama chao kama ilivyo wai kutokea kwa KANU.

Nje ya apo ni jambo la kuendelea kusubiri na inaweza kuchukua miaka kadhaa uko mbele na CCM ikaanguka. Labda wajukuu zako wanaweza waka shuhudia au wajukuu wa wajukuu zako .

Sent using Jamii Forums mobile app

Magufuli ni zero yaani aibu kuwa na Mtu mwenye ufinyu wa maoni ya kuendleza nchi mkabila muoga kama kuku mgeni hajiamini kiasi cha kwamba hata chato anakuona sawa na north pole muuaji jambazi fisadi
 
Sawa JPM anaweza kuangushwa, swali ukiwa umebaki mwaka mmoja kabla ya uchaguzi uyo anayekwenda kumuangusha JPM ni nani na ukilinganisha na JPM amewai kufanya nini ili ukimlinganisha na JPM awe mwenye kuaminika kwa maana ni kazi zako kwa wananchi ndizo zitakazo kubeba au ndio tusubiri yule atakaye katwa na CCM na kunyakuliwa na Upinzani ndio wapambane na JPM ?

Maana sioni atakaye ishinda CCM nje ya CCM labda utokee mpasuko ndani ya chama chao kama ilivyo wai kutokea kwa KANU.

Nje ya apo ni jambo la kuendelea kusubiri na inaweza kuchukua miaka kadhaa uko mbele na CCM ikaanguka. Labda wajukuu zako wanaweza waka shuhudia au wajukuu wa wajukuu zako .

Sent using Jamii Forums mobile app


Nilivyomwelewa mleta mada anazungumzia matatizo sekta zote.

Anguko linawezakutokea ndani ya ccm lakini pia usidharau upinzani, kuna presidential materials wa kutosha as long ni watanzania.
 
Kwa hayo mambo yote uliyoyataja yanaweza kuwa ni mambo yenye mantiki kwa kiasi kikubwa, lakini kwa bahati mbaya au nzuri hayawezi kumuangusha hiyo 2020 kwa namna yoyote ile. Ushindi uko pale pale tena wa kishindo. Just wait and see.

Na sababu ziko wazi kabisa; Kutokuwepo kwa tume huru na isiyo na mashaka kabisa ya uchaguzi, baadhi ya vyombo vya dola miaka nenda kuhisiwa kutumika kisiasa au kuegemea upande fulani, nk. Bahati mbaya zaidi, vyama vya upinzani vipo kimya tu kwa sasa huku vikisubiria uchaguzi ufanyike na mwisho wa siku kuishia tu kulalamika baada ya matokeo ya kwamba wameibiwa kura, matokeo kupindishwa, nk.
Hayo yote yanawezekana lakini sioni mgombea kutoka vyama mbadala kama yupo anayetufaa
 
Magufuli ni zero yaani aibu kuwa na Mtu mwenye ufinyu wa maoni ya kuendleza nchi mkabila muoga kama kuku mgeni hajiamini kiasi cha kwamba hata chato anakuona sawa na north pole muuaji jambazi fisadi

mhhh!
 
Hawa CCM bila kutumia nguvu za dola na kukiuka katiba ni wepesi sana katika chaguzi huru na za haki.

March 27, 2019
Unguja, Zanzibar

Kangi Lugola aendelea na ziara zake huku akitoa katazo kwa vyama vya upinzani kuendelea na mikutano yake ya ndani
 
Back
Top Bottom