Wito: UVCCM tuungane katika hili

Alexism

JF-Expert Member
Aug 14, 2011
3,423
2,046
Habari zenu wanajamvi,bila shaka watanzania wengi tunashudia harakati za kisiasa tena ambazo ni mbaya na hatari kwa taifa letu zinazofanywa na upande wa upinzani mfano kuidai Demokrasia,Uhuru wa Habari na kuwepo kwa matatizo ambao kimsingi yawezekana ni kweli mfano kauli mbaya zinazotolewa na Mh. Rais na uwepo wa njaa nchini.
Sasa sisi kama vijana wazalendo na nguvu kazi ya Taifa ili na chama cha mapinduzi huu utakua muda muafaka kuonyesha uwezo na weledi kwa watanzania kwa kupinga mambo yafuatayo kupitia kwenye mitandaoni,vijiweni no
Tupinge uwepo wa njaa yaani hamna njaa kabisa
Tupinge kwa kusema kua Uhuru wa Habari hupo
Tupinge kwa kusema kuna Demokrasia nchini
Tupinge wale wote wanaosema kua kauli zinazotolewa ni mbaya Ila tusema kua kauli anazozitoa ni NZURI na hakuna kiongozi aliwai kutoa kauli nzuri kama hizi nchini Tanzania
 
Kwani tatizo ni nini? Huu ni wito kwa vijana wazalendo wa UVCCM mkuu tena wakitanzania
 
Kweli kabisa, tupinge kabisa eti kuna njaa wakati mvua inamwagika nchi nzima yaani ni mafuriko kila upande na serikali imejipanga kuwauzia mvua nchi jirani.
 
Post yako nzuri hata sisi wapinzani tunaamini hakuna njaa, kuna uhuru mkubwa kabisa wa habari, demokrasia imepanuka kwa vyama siasa kutokuingiliwa na dola na most impressing our president is a perfect leader tunampenda sana.
 
Habari zenu wanajamvi,bila shaka watanzania wengi tunashudia harakati za kisiasa tena ambazo ni mbaya na hatari kwa taifa letu zinazofanywa na upande wa upinzani mfano kuidai Demokrasia,Uhuru wa Habari na kuwepo kwa matatizo ambao kimsingi yawezekana ni kweli mfano kauli mbaya zinazotolewa na Mh. Rais na uwepo wa njaa nchini.
Sasa sisi kama vijana wazalendo na nguvu kazi ya Taifa ili na chama cha mapinduzi huu utakua muda muafaka kuonyesha uwezo na weledi kwa watanzania kwa kupinga mambo yafuatayo kupitia kwenye mitandaoni,vijiweni no
Tupinge uwepo wa njaa yaani hamna njaa kabisa
Tupinge kwa kusema kua Uhuru wa Habari hupo
Tupinge kwa kusema kuna Demokrasia nchini
Tupinge wale wote wanaosema kua kauli zinazotolewa ni mbaya Ila tusema kua kauli anazozitoa ni NZURI na hakuna kiongozi aliwai kutoa kauli nzuri kama hizi nchini Tanzania
Sawa .. Wataelewa tuu
Habari zenu wanajamvi,bila shaka watanzania wengi tunashudia harakati za kisiasa tena ambazo ni mbaya na hatari kwa taifa letu zinazofanywa na upande wa upinzani mfano kuidai Demokrasia,Uhuru wa Habari na kuwepo kwa matatizo ambao kimsingi yawezekana ni kweli mfano kauli mbaya zinazotolewa na Mh. Rais na uwepo wa njaa nchini.
Sasa sisi kama vijana wazalendo na nguvu kazi ya Taifa ili na chama cha mapinduzi huu utakua muda muafaka kuonyesha uwezo na weledi kwa watanzania kwa kupinga mambo yafuatayo kupitia kwenye mitandaoni,vijiweni no
Tupinge uwepo wa njaa yaani hamna njaa kabisa
Tupinge kwa kusema kua Uhuru wa Habari hupo
Tupinge kwa kusema kuna Demokrasia nchini
Tupinge wale wote wanaosema kua kauli zinazotolewa ni mbaya Ila tusema kua kauli anazozitoa ni NZURI na hakuna kiongozi aliwai kutoa kauli nzuri kama hizi nchini Tanzania
Sawa .. Wataelewa tuu
 
TEH! TEH! TEH! TEH!
HUWEZI KUFUNIKA MOTO KWA SHUKA MTOA UZI. KWANN UJIPE PRESHA KWA KUTETEA CHAMA? HIKI KITU KM KIPO KITAJIDHIHIRISHA CHENYEW NA HUWEZI KUKIFICHA.
POLE SANA, MEFIKA PABAYA SANA. NDIYO TATIZO LA KUTETEA CHAMA KULIKO MASILAHI YA NCHI NA WATU WAKE. Muda ukifika kila kitu kitakuwa naked
 
Back
Top Bottom