Kuku ni mingoni mwa wanyama wanaopendwa sana duniani kwasababu huliwa na karibu watu wote,huzaliana kwa wingi, huishi popote na hula chochote.
Kwasababu hizo kuku ndiyo ndege pekee aliyeenea kwa wingi duniani na kuliwa sana kuliko mnyama yoyote. kwa takwimu za sasa za dunia ni kuwa mahitaji ya...
Kwa miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa sana la watu kuweka ndoto za mafanikio kwenye swala zima la ufugaji kuku, swala ambalo watu wengi wanakosea kuingia kwenye ufugaji bila tathmini za kina HASA juu ya gharama na changamoto za ufugaji huo. Mara nyingi huwa tunaingia na mawazo...
Kwa anayetaka ofa ya punguzo bei la bei ya kuagiza gari, hapa ndo mahala pake, ukiweza mwambie na mwenzio, usiwe mchoyo tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunauza mashati ya kisasa Kwa
jumla 14000
Rejareja 18000
Tunakufikishia bure ulipo Kwa daressalaam.
Kwa mawasiliano ya Biashara zaidi tutafutane Kwa namba 0682939645.
Email, mweme business@yahoo.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunauza mayai Kwa bei ya jumla kuanzia 7000-8000
Tupo msimbazi center
Tunafikisha mzigo ulipo kutokana na idadi ya mzigo uliyochukua
Tunapatikana Kwa namba 0682939645.
Mayai ni ya kisasa.
Karibuni wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.