wadau napenda kufahamu ni kwanini viongozi wetu wanaona ni dhambi na ni vigumu kujadili mustakabali wa muungano wa tanganyika na zanzibar?je kuna hatari gani ya kuuvunja?
Awali ya yote napenda kutambua uwepo wa watu makini na wenye hoja za msingi humu JF. Napata tabu sana baada ya siku mbili zilizopita kufuatwa na mdogo wa rafiki yangu ambae anadai kumpa mimba binti mmoja ambae hakumuweka wazi sana kama ni mwanafunzi au laa.
Hivyo alishauriana na huyo...
Habari zenyu wana JF?
Nimekua nikipata shida na wasiwasi mkubwa kwa elimu yetu ya Tanzania hasa kutokana na namna mbalimbali zitumikazo kuwapata wasomi wa shahada mbalimbali za elimu ya juu.
Nafahamu kua zipo namna mbili zilizotumika kuwapata wanafunzi wa vyuo vikuu mwaka huu yaani...
Hello wana JF!
Mafua yamekua yakinisumbua mara kwa mara yaani kila baada ya kama wiki hivi ni lazima yatanipata na huwa naugua kwa zaidi ya siku tano mfululizo.nimekua nikitumia piliton na codril bila mafanikio.kuna rafiki wangu mzungu alinishauri niwe natumia juice ya machungwa kwa wingi lakini...
Habari zenyu wana JF?
Kwa wale 1st aplplicants ni wazi kwamba selection ni kama imetoka kwani tayari 2nd application ipo on.kilicho baki ni watu kujua wamepangwa wapi.kwa wale ambao hawakuchaguliwa ni rahisi kujua kwan utakapokwenda kwenye account yako na kulogi in nenda moja kwa moja kwenye...
Wakuu mliopo Atown hivi hali ya kisiasa imekaa vipi huko kama kesho kamati kuu ya CHADEMA itaamua kuwafukuza wale madiwani 6 wanaosemekana wamewasaliti Chama? CHADEMA watapona kweli ktk uchaguzi mdogo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.