Kuna jirani yangu hapa yy siku zote ni kurudi saa nane za usiku,huwa najiuliza kazi zake ndo zinamalizika mda huo au ni nn?,najua anatumia pombe lakini si rahisi mtu kuwa kwenye viringe vya pombe siku zote hadi saa nane za usiku.
Mke wake ni mama wa nyumbani ,sijajua kama huwa anarudi kalewa au...
Waswahili wanasema kuisifia nyama kwa utamu wake ukaudharau mchuzi huo ni ujinga maana mchuzi hutokana na nyama, mwendazake na huyo mama wote wamepikwa chungu kimoja sasa wewe endekeza siasa wakati huku mtaani sisi ndio tunaumia
Unakuta mtu umechoka mara mitaa hiyo hata kuona vzuri unashindwa,unaweza kufumba hata macho
Kutumia hekima tu,unakuta mtu una tela mbili nyuma unazivuta ,ukitaka kumfanyia uhuni ni sekunde chache tu ,ila unatafakari unaona ni wale wananunua vigari vyao na bado wageni barabarani so unatake easy...
Kikawaida full lights ni nzuri ukiwa hukutani na mtu,na kama hauoni mbele vzuri jitaidi kuwa mstaarabu unapokutana na mwenzako zima kwa mda kisha washa mkipishana
Kuna watu baadhi wanawasha full mwanzo mwisho,hata umpe ishara ya kuzima hana habari,hasa wa gari ndogo,unakuta kigari chenyewe...
Mzee rudi tu nyumbani ,kama unapakufikia we rudi,changamoto hazitokosa ila mwisho wa siku mambo yatasimama.Na vipi huyo mkeo ameridhia kuiacha nchi yake ?
Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo 1990s-2004s wapendwa wetu wengi sana waliondoka kwa HIV .
Kipindi cha nyuma kwanza dawa hazikuwepo na baada ya dawa kupatikana mwitikio wa utumiaji haukuwa mkubwa na kupelekea waathirika kuelemea sana na maradhi hata kupoteza maisha.
Wengi walisema kuwa ukimwi wa...
Utakuwa na mwanga wa udereva ila hutakuwa na uzoefu, na ukijifunza gari mara moja kisha ukakaa mda mrefu bila kugusa gari,unapoteza uwezo wako wa awali kwa sababu unakuwa bado hujakomaa.
Kuwa dereva kabisa wa gari unatakiwa ukae na gari japo kwa mda wa mwezi mmoja mfurulizo,yani kila siku uwe...
Story closed, mna midomo sana watu wa jf, kila kono tuvimaneno kama mnamchangia chochote mhusika, good will yake mnaitumia vibaya na viujuaji vyenu.
Jamaa haleti story, leteni za kwenu ambazo mnaona zinafaa, na si za kutunga tusome ... Mmejawa na wivu tu kama watoto wa kike. Jamaa anatumia mda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.