Search results

  1. neema shamuhenya

    Tuamke tuamke jamani ndugu zanguni kumpongeza Rais mchapa kazi

    Vijana tuamke katika kuona Mambo aliyoyafanya Rais wetu Mpendwa MAGUFULI. Kila janga lililotokea Kipindi cha huyu Rais Magufuli halikudumu alipambana kuliondoa mapema sana. Kuna waliokuwa wanahujumu juhudi za Rais lakini walikuwa wanagonga mwamba kwa kufanya mambo kijinga. Walihujumu Sukari...
  2. neema shamuhenya

    CHADEMA wameshapotea kwa hili la kukimbiwa na wabunge wao wenye weledi

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) chapoteza Wanachama wake wengi kuliko mwaka wa Uchaguzi 2015. Wabunge waliowengi wamekikimbia Chama na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi CCM na baadhi yao kujiunga na NCCR-Mageuzi. Ukweli ni kwamba CHADEMA wamekuwa wapole ila ndio ukishakuwa Mpinzani...
  3. neema shamuhenya

    Uchaguzi 2020 Uchaguzi mkuu Oktoba hu waja

    Jamani Tujipange kwa Kumpigia kura Rais wetu JOHN MAGUFULI, tusikubali kupoteza Kura zetu huyu ni Rais Mchapa kazi na Mtetezi wa Wanyonge atarudi tena kwa kishindo kikubwa Oktoba, 2020. Tukumbushane kidogo baadhi ya Mambo au Miradi inayotekelezwa au iliyotekelezwa na Serikali ya Awamu ya...
  4. neema shamuhenya

    DPP awang'ang'ania vigogo wa DECI

    SERIKALI imeendelea kuwang’ang’ania wakurugenzi wa Kampuni ya Kusimamia shughuli za Upatu, kwa mtindo wa Kupanda Mbegu na Kuvuna Fedha (DECI), kwa kutaka kutai sha mali zenye thamani ya Sh bilioni 14.1 zilizopatikana kupitia kampuni hiyo. Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), Biswalo Mganga...
  5. neema shamuhenya

    WAKAZI wa Kigamboni mkoani kusahau tatizo la kukatika umeme ifikapo Aprili 30, mwaka huu

    WAKAZI wa maeneo ya Wilaya ya Kigamboni mkoani Dar es Salaam, watasahau tatizo la kukatika umeme ifikapo Aprili 30, mwaka huu. Hiyo ni kutokana na matarajio ya kukamilika ujenzi wa kituo kipya cha kupoza umeme cha Kurasini cha 132/33kV, kitakachopeleka umeme wa uhakika Kigamboni, ambapo...
  6. neema shamuhenya

    Ujenzi Ubungo interchange wafikia 25%

    WAKALA wa Barabara nchini (Tanroads) umesema ujenzi wa barabara za juu katika makutano ya Ubungo (Ubungo Interchange), umefanyika kwa asilimia 25 mpaka sasa na umeanza kudhihirisha ukimalizika, utamaliza tatizo la msongamano wa magari huku ukijenga taswira mpya ya Jiji la Dar es Salaam. Aidha...
  7. neema shamuhenya

    Waziri wa Madini Uganda afurahishwa na usimamizi wa sekta ya madini nchini

    Waziri wa Madini Nchini Uganda, Peter Lokeris amesema kuwa amefurahishwa na usimamizi wa sekta ya madini nchini Tanzania na kusisitiza kuwa Uganda bado itaendelea kutuma wataalam wake pamoja na wachimbaji wadogo wa madini nchini Tanzania kwa ajili ya kujifunza namna bora ya uchimbaji na...
  8. neema shamuhenya

    Fokker 50 ya ATCL kuanza kwenda Mtwara Mei 15

    BAADA ya kukabidhiwa rasmi na serikali ndege aina ya Fokker 50, Kampuni ya Ndege nchini (ATCL) imesema itaiingiza ndege hiyo katika ratiba yake ya safari za ndani ya nchi. Miongoni mwa safari hizo za ndani ni pamoja na ya Mtwara ambayo itaanza Mei 15 mwaka huu pamoja na ya Iringa, inayotarajiwa...
  9. neema shamuhenya

    Rais Magufuli ashangazwa mkandarasi aliyeboronga kupewa mradi mwingine

    Rais John Magufuli ametoa maagizo kwa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi kutotoa kandarasi nyingine kwa kampuni inayotekeleza mradi wa ujenzi wa barabara ya Mtwara-Mvinata hadi akaikamilishe ya sasa. Ameeleza hayo alipokuwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara hiyo yenye urefu...
  10. neema shamuhenya

    SERIKALI imedhamiria kuimarisha utabiri wa hali ya hewa nchini

    SERIKALI imedhamiria kuimarisha utabiri wa hali ya hewa nchini ku kia uhakika wa utabiri kwa asilimia 95 baada ya kusaini mkataba wa ununuzi wa rada mbili za teknolojia ya kisasa, ambayo Tanzania inakuwa ya kwanza kuwa nazo katika Ukanda wa Afrika Mashariki. Rada hizo aina ya S-Band Radar...
  11. neema shamuhenya

    Rais Magufuli aagiza wakulima wa korosho walipwe Bilioni 50

    Rais John Magufuli ameagiza kiasi cha Shilingi bilioni 50 kitumike kulipa wakulima 1,800 wenye korosho zaidi kilo 1,500 kila mmoja ambao bado hawajalipwa. Rais Magufuli ameyasema hayo alipozungumza na wananchi na vingozi mbalimbali wa serikali kabla ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi...
  12. neema shamuhenya

    Wizara ya Madini itaendelea kuanzisha masoko ya Madini

    Wizara ya Madini itaendelea kusimamia Uanzishwaji wa Masoko ya Madini katika maeneo mbalimbali nchini huku ikiendelea kufanya marekebisho ya Kanuni za Uanzishwaji wa masoko hayo. Waziri wa Madini Doto Biteko ameyasema hayo wakati akifunga Semina ya siku mbili iliyoandaliwa na wizara kwa Wabunge...
  13. neema shamuhenya

    Serikali haijazuia biashara ya maduka ya kubadilishia fedha za kigeni

    Katika kutekeleza majukumu yake ya kuhakikisha kuwa Sekta ya Fedha inachangia ipasavyo utulivu na ukuaji wa uchumi nchini, Benki Kuu ya Tanzania ilibaini uwepo wa maduka ya kubadilisha fedha za kigeni ambayo yalikuwa yakiendeshwa pasipo kuzingatia Sheria ya Foreign Exchange Act 1992, Kanuni za...
  14. neema shamuhenya

    Waziri Biteko awasimamisha kazi maafisa madini ofisi ya madini Chunya

    WAZIRI wa Madini Dotto Biteko, ameagiza kusimamishwa kazi kwa wafanyakazi wote ofisi ya madini Wilayani Chunya na kuagiza kuwafunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi na kwa tuhuma za kushirikiana na wachenjuaji wa madini. Waziri Biteko ametoa kauli hiyo Wilayani Chunya Mkoani Mbeya , wakati...
  15. neema shamuhenya

    Maandalizi ya uchaguzi Serikali za mitaa yaiva

    uchaguzi huo. Kwa mujibu wa Waziri wa Nchi, Osi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo, maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa yanaenda vizuri na kinachosubiriwa kwa sasa ni kukamilika kwa kanuni za uchaguzi huo. Vyama vya siasa vyenye usajili vinatarajia kutoa maoni...
  16. neema shamuhenya

    Naibu Waziri wa Madini ashtukia mchezo mchafu, wananchi waibiwa madini bila kujijua

    Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo amefunga mitambo yote ya kuchenjulia madini ya dhahabu Wilayani Kahama baada ya kubaini udanganyifu mkubwa kwenye uchenjuaji wa madini. Naibu Waziri Nyongo amechukua hatua hiyo kwenye ziara yake aliyoifanya jana Wilayani Kahama yenye lengo la kukagua...
  17. neema shamuhenya

    Dar: Bureau De Change 82 kati ya 87 zakutwa na viashiria vya utakatishaji fedha

    Gavana wa Benki Kuu Tanzania, Profesa Florens Luoga amesema kuwa maduka 82 Dar es Salaam yaliyofanyiwa ukaguzi yamekutwa na viashiria vya utakatishaji fedha. Prof. Luoga amesema kuwa ukaguzi huo ulifanyika katika jumla ya maduka 87 na uchunguzi zaidi unaendelea dhidi ya maduka yote nchini ili...
  18. neema shamuhenya

    Ndugai: Madini sasa ni ajenda ya kitaifa

    SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amesema huko nyuma taifa halikunufaika na rasilimali za madini kwa kuwa sekta hiyo haikuwa ajenda ya kitaifa. “Madini yaliachwa kwa wabunge ambapo rasilimali hiyo inapatikana kwenye maeneo yao, haikuwa ajenda ya taifa, wengine walizungumzia zaidi masuala yanayowagusa...
  19. neema shamuhenya

    Soko la madini kufunguliwa kahama

    NAIBU Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo amemwagiza Osa Madini Mkazi wa Mkoa wa Kimadini wa Kahama, Andrea Fabian, kuhakikisha anafungua soko la madini ya dhahabu haraka ili kuwapunguzia adha wachimbaji kusari hadi Geita kuuza dhahabu zao. Nyongo alibainisha hayo juzi wakati wa ziara yake...
  20. neema shamuhenya

    Hospitali ya Taifa Muhimbili kujenga jengo la kisasa, wagonjwa kuanza kutua kwa helkopta

    HOSP ITALI ya Taifa ya Muhimbili imeweka mikakati kutoa huduma bora nchini na Afrika Mashariki kwa kujenga jengo la kisasa lenye ghorofa saba litakaloanza kujengwa mwezi huu. Jengo hilo litakalojengwa kwa Sh Bilioni 20 za Serikali litakuwa na sehemu ya kutua helkopta (Helipad) kwa wagonjwa wa...
Back
Top Bottom