Ukitaka kushangaa yanayo tokea nchini utachanganikiwa sana:
Wakati Tanzania ikiwa imeridhia mkataba wa kimataifa wa kutekeleza na kulinda haki za watoto na kusimamia kwa karibu ulinzi wa haki za binadamu, sasa serikali ina kila sababu ya kuangalia haki za watoto walioko gerezani kwa makosa ya...
Kimsingi Simu zote mpaka za Kichina bora unaweza kuingia kwa Internet utasikiliza Live Radio pia Hii ni Radio ambayo inasikika kwa Internet pekee hatuna mipaka ni Dunia nzima inasikika.. Pia ukiwa kwa Tovuti yetu utapata kila kitu unacho hitaji hapo ikiwa ni pamoja na habari na burudani zengine...
Inasikika Dunia nzima wadau na hivi karibuni mwezi ujao tunaanza sikika kupitia mobile just click Tone Radio-Tz Intends To Connect You To The People Of Sub Saharan Africa And Across The World |Tone Radio-Tz Anywhere You re upande wa kulia utaona on air click hapo kisha sikiliza kuna mambo mengi...
Tunapenda kuwapa taarifa wadau wote na wapenzi wa Tone Radio Tz.. Baada ya kukamilisha Tovuti yetu sasa Tumeanza matangazo Rasmi ya majaribio ambayo yatakuwa yanawajia kila siku mpaka hapo tutakapo watangazia Rasmi tumeanza vipindi, Lakini hata Hivyo kwa sasa vipindi vimeanza na watangazaji...
Tunapenda kuwapa taarifa wadau wote na wapenzi wa Tone Radio Tz.. Baada ya kukamilisha Tovuti yetu sasa Tumeanza matangazo Rasmi ya majaribio ambayo yatakuwa yanawajia kila siku mpaka hapo tutakapo watangazia Rasmi tumeanza vipindi, Lakini hata Hivyo kwa sasa vipindi vimeanza na watangazaji...
SASA HAUNA HAJA TENA YA KUJIULIZA UTAPATA WAPI BURUDANI YA NGUVU 24/7 BUREE... INAKUTANGAZIA KUTOKA TANZANIA NA KUSIKIKA DUNIA NZIMA NA NDIO RADIO PEKEE AMBAYO HAITUMII FREQUENCY..
UKIWA KAZINI UKIWA SHULENI POPOTE PALE UNASIKILIZA. UNACHO TAKIWA NI EARPHONE AU MDUNDO MKUBWA WA SUB WOOFER...
Daaah..... Kwa masikitiko makubwa sana naomba niwakilishe hii Habari kwenu wadau .. Kweli kabisa watoto wafanya mtihani katika viwanja vya mpira wa miguu Huko Morogoro Imeniuma sana..... .. pia karibuni kwa mchango maana mimi nimeishiwa pumzi
TWENDENI PAMOJA HAPO VIWANJANI WADAU TUJIONEE...
BINAFSI NILIPO ZIONA SIGARA HIZI NILISHANGAA SANA LAKINI NI SIGARA ZA KISASA KABISA ZINAZO TUMIA UMEME NA HAZINA MADHARA KIAFYA.. HII NI HABARI NJEMA KWA WOTE WAVUTAJI..
BOFYA HAPA KUONA SIGARA HIZO
SASA TANZANITE ILIGUNDULIWA NA MTANZANIA NA HATIMAE WANANCHI WAMUONA LIVE... NIMEONA TUSHIRIKIANE KWA PAMOJA KUMUONA
BOFYA HAPA KUONA NA KUSOMA HABARI ZAKE ZAIDI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.