. . .freelancing ni moja ya mkombozi wa changamoto ya ajira kwa vijana, shida ni uelewa bado upo chini juu ya hii kitu, serikali haina sera nzuri ku support hili.
. . .kwa mahitaji ya Viazi kutoka Njombe, viazi aina ya Sanghita
. . . tunatarajia kuanza kuvuna katikati ya mwezi wa 10 mwaka huu.
Karibu tuzungumze
Dm kwa mawasiliano
Sisi ni watu wa ajabu sana, kipindi mzee yupo haya tunayo yapinga leo yalikua na mantik nzuri, ila leo yamekosa uhalisia kabisa.
Kuna watu wanajaribu kujitengenezea popuparity walio ipoteza,
Kaka umeona mbali, kama akikuelewa akafata ulicho mwambia, hata juta baadae.
Kikubwa kikubwa jitafakari unapenda hudumu kwa kufanya kitu gani, nenda kachukue diploma ya hiyo fani. Kila la kheri
Mara nyingi kila matokeo yanapo toka ndio tunashtuka na tunaanza kuangalia nani kakosea nini au nini kimekosekana wapi, ila swala la Elimu hatuwezi kulitatua kwa kuliangalia kwa vipande vipande yaani kama tuamue kutatua kwa labda kuongeza waalimu wa masomo yenye ufaulu mdogo au kuamua kuongeza...
Hii app bado inafanya kazi? Niliitumia mwanzoni mwa mwaka jana nikailipia 15k kwa ajili ya miezi sita. Ila simu ilikua inakua nzito, inachemka sana afu internet connection inakata kata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.