naomba kujua mbona wanaume mko na high sex drive na ikitokea fursa ya kumla mwanamke unapita nae hata kama humpendi.je nyie kwenu sex na upendo ni vitu viwili tofauti ?? na inakuaje hapo
Nauliza mwenzenu pale mwanaume anapoomba msamaha mpaka machozi yanatoka huwa mnamaanisha au maigizo tu.
Nimewahi kushuhudia mara nyingi katika situation tofauti,my hubby once sasa jana shemeji yangu(hubby of my friend) alikuwa akimwomba msamaha mke wake mpaka analia kama amefiwa khaa!
Naombeni...
Decoda yangu ya zuku imegoma leo tangu asbh na ni wk 3 tu tangu niinunue sasa jamani je ni hela imekwisha au nini sasa.je pia nitapataje msaada maana startimes kikibuma unazungusha anterna huku je unafanya nn??
Jamani nina mimba 40 weeks sasa lakini cna dalili ya kujifungua na nimechoka hata kutembea sasa tabu, nauliza hakuna natural methods za kustart labour pains?
Naogopa za hospital nisaidien nimechoka mpaka basi, kweli mtoto mgumu jamani.
Wana mmu nauliza mwenzenu kuna ukweli wowote iwapo mwanaume hawezi kuwa na mwanamke mmoja eti lazima atakuwa na kiburudisho cha pembeni.wangu namuona mpole nashindwa kumsoma kama na yy anachakachua ndoa yetu
Naona serikali ndio chanzo cha yote yanayoendelea hapa bongo,kama wangeboresha huduma za afya hakuna daktari ambaye angegoma na kusababisha wagonjwa kufa.kwa hiyo mm naona muuaji ni serikali na si daktari.ambaye amesoma kwa tabu.cha msngi wananchi tuilaumu serikali mliyoiweka madarakani...
motivation kazini based on 3 basic needs.
1.achievement-oriented people:focus on transform ideas into action,wisely and risk taker.
2.affiliation-orientated people:focus their energy on families and friend,their overt productivity is low.
3.power-oriented people:they want command attention,get...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.