tangu nimeamka leo cjickii kabisa kuongea na mume wangu.hata kumuona sina hamu.hajanikosea chochote.hii ni nn jamani???
nimemaliza kubleed,sina mimba.yaan sijickii tu mwenzenu
Utaambiwa "Una jini mahaba"
Ngoja waje.
Kule kwetu wangesema una 'roho mbaya' kununa bila sababu ndo huwa dalili yake
Utaambiwa "Una jini mahaba"
Ngoja waje.
Kule kwetu wangesema una 'roho mbaya' kununa bila sababu ndo huwa dalili yake
Galima ulifungua thread saa tatu asubuhi,ni usiku sasa,vipi hali yako,unajisikiaje? Kuna mabadiliko?