Hilo swali hata nyie mnaweza kulijibu kwa upande wenu maana hatusex na mbuni wala kangaroo ila nyie.
Tumwambie atufungulie uzi wetuna sisi wa chaputa je ?
Sex inaweza kuwa bila upendo, ila hakuna upendo Bila sex huo ndio mtazamo wetu.
Kufanya mapenzi ni kustarehe tu, na hiyo ni moja wapo ya starehe, ila linapokuja suala la upendo ni tofauti kabisa, kwani unaweza kumpenda mtu na usihitaji kusex nae ila unaweza kusex na mtu hata usiye mpenda kisha ukimaliza unafyonza.
Pia inapotokea mtu anakuambia amekupenda anamaanisha munaweza kwenda sawa kwa baadhi ya mambo na inapokuja suala la sex inawezekana kwa upesi zaidi maana munapendana na mnashirikiana mengi hivyo sex katika upendo ni extra issue mana unaweza kumpenda mtu hata bila kuhitaji sex kutoka kwake,
aiseeNyie mshafeli.
Mada haiwahusu.
😂 😂 😂 😂 😂kabisa maana anatutengaTumwambie atufungulie uzi wetu
Ninachojua mwanamke ana sex kwa hisia sana labda awe muuzaji, kwa hiyo linapokuja swala la sex kwa mwanamke ni lazima ampende mwanamume kwanza.naomba kujua mbona wanaume mko na high sex drive na ikitokea fursa ya kumla mwanamke unapita nae hata kama humpendi.je nyie kwenu sex na upendo ni vitu viwili tofauti ?? na inakuaje hapo
Hakuna upendo bila sex...??? hapo umekosea man.....upendo unaweza ku exist bila sex....na sex inaweza ku exist bila upendo vilevile.kwa mfano unavompenda baba, mama, shangazi, dada, kaka, binamu, mpwa ..nk..hawa huwa unasex nao..???...Mi nnachojua upendo umegawanyika sehemu mbili (Agape love & Passionate Love)Sex inaweza kuwa bila upendo, ila hakuna upendo Bila sex huo ndio mtazamo wetu.