nimeamua kujiunga na chadema rasmi,baada ya kuona udhalimu unaoendeshwa na serikali ya ccm.kwa kipindi cha miezi 12 serikali ya ccm imefanya mauji na utesaji kwa raia wasio na hatia.naombeni msaada wa jinsi ya kupata kadi ya cdm,kwa sasa nipo kijjjini,na nitaanza mimi mwenyewe kufanya kampeni ya nyumba kwa nyumba kuhamasisha wanachama zaidi kujiunga.
Nb kumbe chadema ina umaarufu mkubwa tu na uku vijijini,awali tuliaminishwa kwamba cdm ni chama cha mjini si kweli kasi ya cdm kuenea vijijini ni kubwa sana