Wananchi tupambane na serikali sio madaktari

Aquous

JF-Expert Member
Jun 29, 2011
292
86
Naona serikali ndio chanzo cha yote yanayoendelea hapa bongo,kama wangeboresha huduma za afya hakuna daktari ambaye angegoma na kusababisha wagonjwa kufa.kwa hiyo mm naona muuaji ni serikali na si daktari.ambaye amesoma kwa tabu.cha msngi wananchi tuilaumu serikali mliyoiweka madarakani wenyewe.na kuipa mamlaka yote hadi ya uhai wenu.bora ckupiga kura
 
Back
Top Bottom