East Africa ikiwa ikiwa chini ya Germans Waarabu walitumika kama makuli wa kuwachukua watumwa kutoka maeneo ya bara na kuwafikisha mkunazini kwa British ambao ndio walikuwa wamedominate soko la biashara hiyo.
Historia ya kweli ya Zanzibar walibaki nayo wakaazi wa Zanzibar mababu na mabibi zetu, hii iliyoandikwa kwenye vitabu nyingi ni uzushi mtupu, mfano mdogo na mzuri kuna pango liko Pemba lina historia nyingi sana ambayo imeandikwa kwenye magome ya miti na ngozi za wanyama, lakini huwezi kukuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.