EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,796
- 13,115
- Thread starter
- #41
Anza kwanza kuyaanika hayo makalio yako yenye ukurutu yakiwa utupu kabla ya kunianika mimi hapa.Naona unalazimisha kunifahamu ,huko unapopaita teku ndio unayapelekaga makalio yako yakashikweshikwe au?.Halafu acha mikwara yako ya kibwege haina effect yoyote kwangukwangulNaona hadi unajikataa, ulivyopoyoyo!
Kichwa kimejaa upupu, naona wazazi wako walipoteza ada kukupeleka TEKU, maana najua huna ujasiri wa kujitambulisha popote kuwa wewe ni zao la TEKU, aibu kubwa sana kwako! Ndio maana unabwabwaja tu hapa!
Kwa taarifa yako nimeshakuambia nakujua nje ndani, au wataka nikuanike wazi hapa...!?
Ila soon nishakuambia unachokitafuta utakipata, sitanii for sure!