Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,213
- 24,732
Kuna yule mwingine wakuitwa askofu SHOO...đź¤
Hahahaaa
I see that!
Kuna yule mwingine wakuitwa askofu SHOO...đź¤
Acha uongo leta maandikoPaulo alimpinga Petro waziwazi kwa sababu ya unafiki wake,kwa hiyo kupingana kwa vitu vidogo vidogo sio jambo geni, lakini cha msingi wote wanamhubiri kristo,wanaamini kuwa ni Bwana,wanaamini kuzaliwa na kifo na ufufuo wake.
Mwanzoni kasema "fvckin name"it is a lovely game for real
Ndio hivo na ndio maana roho zinawauma,wamevumilia wameshindwa.Roho zinawauma makanisa yao hayakui hayana watu wanakuta watu eameanza juzi tu Wana maelfu wait wapo wapo tu
gal 2:11Acha uongo leta maandiko
Hii mbona hatuoni wakipingana mafundishogal 2:11
Hata wao wanapingana vitu vidogo vidogo,lakini wote wanamkiri Yesu ni Bwana,wanaamini alikuja katika mwili,wanaamini alikufa na kufufuka na kuwa ni mwana wa Mungu,kwa kuamini hayo ndio misingi ya ukristo mengine ziada.Hii mbona hatuoni wakipingana mafundisho
Kwann unatumia maandiko kuhalalisha utapel
Kwenye BibliaTapeli huyu
Wanakueleza, ujinga ni fursa.Tunashukuru MUNGU tangazo muhimu limetolewa ifikie kipindi hawa waganga wa kienyeji (manabii na mitume) wafungiwe huduma wanazofanya..
Hili wimbi la manabii feki likiachwa liendelee kutakuwa na shida huko mbeleni hasa Sisi wakristo
Siku za ibada mafuta mbona bure?Majibu yako mepesi sana
Nani kakwambia kila mmoja ana kanisa ili asambaze kaz kirahisi?
Hujawahi kuona eneo kama ubungo kibangu tu lina manabii hata watano na kila mmoja kanisa lake lina jina tofauti na mafundisho mengi wanatofautiana, au unaongea tu usichokifahamu?
Unazungumzia Kakobe kwenda kwa Gwajima , unajua alienda kufanya nn? Alienda kumsafisha kuhusu kuvuja clip ya ngono
Ila mafundisho ya Kanisa la kakobe mengi yanatofautiana na Gwajima
Naongea kitu ninachokijua kwa 100%
Ndio maana huwez kukuta waumin WA gwajima waliokaribu na Kanisa la mwingira au kakobe wakaenda kusali kwa kakobe ,
Unajua kwann ni u tofauti wa mafundisho
Nipe Aya inayosema wauzie watu mafuta ,chumvi na keki
Tofautisha Sadaka na bei za kuuziwa Mafuta ,chumvi n.k
Sadaka ni hiari yako
Ulishaona kwa Mwamposa anagawa mafuta bure ? Kwann yana bei maalumu?
Hilo swali ataliuliZa kwa kibantu au kiebrania? Just jocksTusikimbilie kusema Wivu
Wanatimiza wajibu wao ,Mungu atatuuliza ulipoona wenzako wanaibiwa ulifanya jitihada gani
Mimi nashauri tusikimbilie kusema ni wivu tu
Sawa mkuu, ngoja tuwaachie wenye imani zao masuala ya imani. Ila naona tunapoelekea hakutakuwa na tofauti na wazee wa tunguliDECI watu waliaminishwa kuvuna mara mbili wakati ni uongo wakati mitume na manabii wanawaaminisha vitu ambavyo huja kuwa kweli,maana wanapona,wanafunguliwa vifungo vyao n.k.ndio maana akinunua kikiisha anarudi tena kununua.