Habari zenu ndugu wana JF,
Hakika naandika hili jambo nikiwa nimekwazika sana, hivi inakuaje mwanamke wa ki analog unakuwa mchafu sehemu ya papuchi, dah maana kwa nilichokutana nacho leo sina hata hamu ya kuchepuka tena.
Nimekutana na kamwanamke ukikaona kazuri kumbe ndani dah ni aibu tupu...
Ndugu wana JF habari ya leo?napenda kuwataarifu ya kuwa nauza mashamba ekali 200 bei shilingi milion 12 kwa ekali zote,mashamba haya yanafaa kwa kilimo pia hata ufugaji.mashamba haya yapo wilaya ya nkasi mkoa wa Rukwa,kwa maelewano na maelezo zaidi.
Ndugu wana JF habari ya siku hii ya leo,naamini humu ndani tunakutana na watu wa aina mbalimbali,naomba mtu yeyote aliye na kampunia au kampuni yoyote ya building and Civil Engenearing ili kufanya nayo partnarship chini ya makubaliano ya kati yangu na yeye pindi nnapofanya kazi zozote zile za...
Ndugu wana jamii forum!kwa wale wanaohitaji king'amuzi cha starTime(decoder ya StarTimes)zinapatikana kwa bei poa kabisa !kwa anayehitaji tuwasiliane kw
Habari wana JF,please naomba kujuzwa kuhusu application zilizotumwa NMB lake zone na Highland zone post za Bank officer imefikiawap na wameshaanza kita au?natanguliza shukrani!
Kwa yeyote aliye mwanza na kama anasoma post hii naomba anipe kazi yoyote ile ila iwe halali maana maisha ni magumu jaman mpaka nawaza na yasiyopaswa kuwazwa! Elimu yangu ni ya Diproma of Public Administration,natanguliza shukrani.
Ndugu wana jf please jamaa ameitwa interviw ya access bank na wamedai kwamba itafanyika jengo la ashifu ladhan lipo sehem gani au hawa access bank wako sehem gan hapa mwanza!
Habari wan JF,kunajamangu kaitwa interview ya accessbank post ya field office,je ni maswali gani yatakayoweza kuwepo katika interview hiyo please mwaga dondoo japo nimueleze ili awe na ideal,thanx nawasilisha!
Habari zenu wakubwa!ndugu zangu wana JF kuna rafiki angu anauliza kwa yeyote yule aliye na taalifa juu ya nafasi za kazi zililzoombwa imefikia wapo na je washaweka shortlist..?
Habari wana Jf,natafuta uwakala au partnaship ya katika kampuni yeyote ile ya usafi au ukandalasi ili niwe nasimamia kama mambo yote katika sehemu hii nilipo.
Habari wana JF,naamini ya kumu ni wazima na MUNGU anaendelea kuwajalia,kama nilivoeleza hapo juu,Mtu unaweza kuwa na ndoto flani zako ili utimize ila unashindwa kutokana na sababu flani, nasema hivi kutokana na Maono na malengo ya Mchungaji huyu kukwama sababu ya kukosa pesa,Mchungaji 1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.