Yahusu kutafuta mfadhiri katika kanisa.

Yahusu kutafuta mfadhiri katika kanisa.

Kazakuku

JF-Expert Member
Joined
Jun 6, 2011
Posts
354
Reaction score
110
Habari wana JF,naamini ya kumu ni wazima na MUNGU anaendelea kuwajalia,kama nilivoeleza hapo juu,Mtu unaweza kuwa na ndoto flani zako ili utimize ila unashindwa kutokana na sababu flani, nasema hivi kutokana na Maono na malengo ya Mchungaji huyu kukwama sababu ya kukosa pesa,Mchungaji 1 ameniomba nimwekee tangazo hili humu jamvini maana JF ndio mwisho wa yote....Anaitwa........ni Mchungaji wa kanisa..........anaishi mkoa wa RUKwa, anatafuta mfadhiri atayesaidia kugharamia huduma yake maana huduma inashindwa kuelekea mbele kutokana na kukosa fedha za kufanikisha huduma......hivyo anaomba mtu yeyote yule aliyeguswa na swala hili amsaidie Mchungaji huyu........kwa aliye tayari kwa ushauli au pia msaada ani PM....Aksanteni sana...Nawasilisha.
 
Amekwama kivipi? Mkuu bado hujafunguka kabisa, ni anataka pesa ya kujenga kanisa? vipi waumini hawatoi sadaka kabisa? Ni vizuri akawahamasisha waumini wake kuchangia ujenzi wa kanisa, na anaweza mtafuta mzee EL
 
Muulize anatoa fungu la kumi yeye binafsi? Je huduma yake inatoa fungu la kumi? Kumbuka amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu,,atoe alichonacho kiroho na watu watampa vitu vya mwilini in return.
 
Wengine pesa zetu zinatokana na kuuza bia , je atakubali kupokea hela za mauzo ya pombe?
 
Sasa tutakuamini vp kama umetumwa na huyo mchungaji ambaye hajulikani jina wa kanisa analochunga, tukikupa hizo pesa tutaamini vp kama mhusika kazipata , jipange tena kisha uje
 
Mleta mada wakati Mungu anamtuma alimpa maagizo gani?

kwanini asirudi kumuuliza Mungu umenipa maagizo ila kazi imekwama nifanyeje?

Mmh
 
Habari wana JF,naamini ya kumu ni wazima na MUNGU anaendelea kuwajalia,kama nilivoeleza hapo juu,Mtu unaweza kuwa na ndoto flani zako ili utimize ila unashindwa kutokana na sababu flani, nasema hivi kutokana na Maono na malengo ya Mchungaji huyu kukwama sababu ya kukosa pesa,Mchungaji 1 ameniomba nimwekee tangazo hili humu jamvini maana JF ndio mwisho wa yote....Anaitwa........ni Mchungaji wa kanisa..........anaishi mkoa wa RUKwa, anatafuta mfadhiri atayesaidia kugharamia huduma yake maana huduma inashindwa kuelekea mbele kutokana na kukosa fedha za kufanikisha huduma......hivyo anaomba mtu yeyote yule aliyeguswa na swala hili amsaidie Mchungaji huyu........kwa aliye tayari kwa ushauli au pia msaada ani PM....Aksanteni sana...Nawasilisha.
Khaa! Huyu ameitwa au kajiita? Yaani anamwaibisha Bosi wake JF.
Mwambie arudi magotini kwa bosi wake au la atafute kazi ya kufanya huko sio kwake...Nukta!
 
Mwambie atafute nauli aende NIGERIA, akirudi full magumashi, mapepo nje nje! Atashangaa mwenyewe jinsi atakavyonunua HUMMER ndani ya mwaka mmoja!
 
hahahahah ufanye kazi kwa ally ukale kwa juma hahahahahahaha kazi kweli kweli huyo inshort amejituma mwenyewe kuwa mchungaji hajatumwa na mungu ndio sababu madhabahu haijamlisha mwambie arudie ile kazi yake ya zamani lol
 
Yani we acha tu.
Michezo ya kizamani kweli iyo ya kuzikana hela in the name of God.
With time itakuwa ni aibu kuji introduce kwamba mimi ni mchungaji,au namtumikia Mungu.
Manake miungu isojulikana kibao.


Yaani aibu tupu!
 
Nigeria mbali mkuu.ashuke hapo bondeni anunue "shock n drop"ambayo anaweza kuivaa isionekane.

Watu wakimkaribia tu wanapigwa shoti,full kuanguka ovyo ovyo,am sure watu watajaa na hela zitakuja fasta.

Mwambie atafute nauli aende NIGERIA, akirudi full magumashi, mapepo nje nje! Atashangaa mwenyewe jinsi atakavyonunua HUMMER ndani ya mwaka mmoja!
 
Pasco, hivi umeshindwa kabisa kumshawishi mh Lowasa kuingia jf? Angeweza kutoa huduma kwa wananchi wake.
 
Last edited by a moderator:
Enzi za huduma ya Yesu aliomba ufadhili wapi?

Aliwalisha wenye njaa, aliwasaidie wasiojiweza, aliwafufua wafu, nk lakini hakuna sehemu aliyoomba ufadhiri!

Wewe bado hujatumwa na Mungu, umetumwa na njaa! Kamwambie wana jf ni binadamu waliopevuka hawatapeliki kwa jina la Mungu wala la Ibilisi
 
Muulize anatoa fungu la kumi yeye binafsi? Je huduma yake inatoa fungu la kumi? Kumbuka amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu,,atoe alichonacho kiroho na watu watampa vitu vya mwilini in return.

Nimemuuliza kaniambia huwa anatoa fungu la kumi.
 
Sasa tutakuamini vp kama umetumwa na huyo mchungaji ambaye hajulikani jina wa kanisa analochunga, tukikupa hizo pesa tutaamini vp kama mhusika kazipata , jipange tena kisha uje

Kama ukitaka jina ni PM,pia ukitaka muona nakupa namba yake na jina na utaonana nae.
 
Mleta mada wakati Mungu anamtuma alimpa maagizo gani?

kwanini asirudi kumuuliza Mungu umenipa maagizo ila kazi imekwama nifanyeje?

Mmh

Iko hivi huduma inaendelea vizuri ila kwa mazingila yake anahitaji mtu ambaye atamuwezesha huduma yake iende mbele zaidiiii kwani wengi wa watu hawajafikiwa na huduma yake.
 
Khaa! Huyu ameitwa au kajiita? Yaani anamwaibisha Bosi wake JF.
Mwambie arudi magotini kwa bosi wake au la atafute kazi ya kufanya huko sio kwake...Nukta!

Mazingira
 
Back
Top Bottom