Ila ngoja nishauri
Kama unaweza kupata mtu ( ndugu, Jamaa, Familia ) akawa na 25milion ikatumika kama Fund ya kuonyesha nchi husika
Ukiwa na bajeti ya 5-8 million unaweza kusoma nchi za nje especially Europe / US au Canada vzr tu.
Maana hapo unaweza kupata part time job ukiwa huko hvyo...
Kwahvyo ni Bora ukatumia ma-agent
TASSA wanasema unaweza kupata kozi za Bachelor Kwa million 5 Kwa mwaka au Masters Kwa 10 Kwa mwaka Kwa nchi kama Poland , Cyprus na India .
Kufanya application ni rahisi na probably unaweza kupata chuo
Tatizo linaanza kwenye fund ambayo ita-cover gharama zakoo za kuishi
Kwa mfano nchi nying za ulaya na america wanataka Dola elfu10 ( approximately to million 20 ) Kwa mwaka.
Bongo tayari wanafanya muda tu ( nadhani hakufuatilia au hauna taarifa ) hasa kwenye simu
Mitandao ya simu hufanya hvyo
Mfano
Kwa Sasa Airtel wanatoa hiyo hudama na ( hapo nyuma tigo pia walikuwa wanafanya )
Tatizo kwenye Airtel simu ya laki mbili ( 200k )dukani wao wanauza Kwa mfumo huo...
Kaka no hv hiyo foundation aneyesoma ni yule aliyemaliza form six mwenye kuanzia matokeo ya III ya 14( Three ya kumi na nne )
Yaaan matokeo yake haya mwezeshi kwenda kusoma degree moja Kwa moja
NA SIO MTU ALIYEMALIZA FORM FOUR
Hv ni vitu vidogo visivyohitaji hats kuomba msaada Kwa watu
Smartphone yako unaitumia ufanya nini..
Eeb nenda GOOGLE type jina la hiyo course halaf uone kama uliitajia kuleta hiyo aibu yako hapa 😂😄
Sio 2.8 Bali ni 2.7
2.7 hii ni Lower second class ambayo ndio kigezo minimum cha Tanzania commission for university Kwa mtu anayetaka kusoma masters Kwa chuo chochote Tanzania though Kuna baadhi ya VYUO vinavigezo vyao kulingana na kozi husika
Habari wakuu
Sikuizi naona IST na Vitz nyingi Sana sinauzwa mitaani..
Nina idea ya Biashara kidogo
Idea yenyewe ni hivi
Natafuta watu 5-10 , Ambao tutaandikishana mkataba , ambapo baada ya kuuza gari, ulete gari yako tukufanyie kazi kwa muda wa miaka miwili (2).
Kwa miaka 2, kila siku...
waTz kwenye swala la huruma limewakalia kushoto sana
Kaka ngoja nikueleze Mimi Sina hiyo pesa, Ila pia watanzania wengi wazushi tu, angalia hapo maswali yalivyokuwa mengi pasipo kujitokeza hata mtu mmoja ambaye anaweza kukupa hiyo pesa.
Mtanzania yupo lazi amnyime nduguye atumie pesa hiyohiyo...
Sijui umfikiria Nini kuandika ulichoandika
KWANGU NAONA NI UPOTOSHAJI NA UMETOA USHAURI WA HOVYO HOVYO SANA
Ngoja nikupe kaelimu kidogo
Treasury bond ni risk free ( ikimaanisha hupotezi kile utakachowekeza )
Nikupe mfano
Ukiwekeza 100Million kwenye treasury bond ya miaka 20, ambapo Bank of Tz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.