Unakumbuka ilikuaje? Unakumbuka ulivaaje?Je walikupokeaje?
Nimeenda na ndugu yangu juzi alikaribishwa ukweni kwa mara ya kwanza....wiki nzima alikua restless,trying to do everything to impress her "inlaws"
tupeane uzoefu,ulijiskiaje baada ya kuondoka??Maana ni kama kufanya interview...loooh!
Habari wanajamvi!
Naombeni mnielekeze mapishi ya mihogo ilokauswa (makopa). Nakumbuka nilishawahi kula hiki chakula nikiwa mdogo ni kitamu sana na nitamani nipike tena.
Nitashukuru sana kwa kuelekezwa pishi hili.
Wadigo wenzangu, Wabondei, Wasambaa naombeni uzoefu.
It is tough to stay Single in this world where everybody expects you to be with somebody. What they fail to realize is that staying Single is not about having no choice. Rather, it's an opportunity to make intelligent choices.
Leo 13 January nakumbuka siku yangu ya kuzaliwa.
Moyo wangu umejaa shukrani nyingi kwa Mungu wangu aliyenipa mwaka mwingine katika maisha yangu.
Kila nilichonacho maishani kwangu naona kama ni Baraka kubwa sana Wazazi, Ndugu, Marafiki ,Elimu, Kazi,Afya njema na mengine mengine ambayo wengine...
Habari wana jamvi?
Mara nyingi nikisoma threads na comments za watu humu huwa lazima niangalie jina la muhusika ,nini kilikufanya uwe na username ulonayo?
Ni jina la role model wako?Ni kitu unachokipenda? Ni kifupi cha jina lako?
Kwa kuanzia tu mimi Candy Kisses ni wimbo niupendao sana ndo...
Habari zenu wanajamvi.
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Kinondoni,Mikocheni,au Sinza. Iwe chumba kimoja self contained ama viwili bei isizidi.Iwe kwenye mazingira mazuri kwenye usalama sio uswahilini.
Natanguliza shukrani.Tuwasiliane kwa PM.
Jana tulikua na kamjadala karefu kidogo kuhusu hawa wandugu kitu gani wanataka ili watulie ndoani. Nami nimeyachuja, nikaongeza na tu chumvi kidogo ili kunogesha. haya si maneno yangu. Ni yakwao wenyewe. Mwenye macho na asome na mwenye kusikia asikilize sauti yake mwenyewe ikisoma...
Habari wanajamvi....nimekaa nikifikiri nikaona niwashirikishe na nyie.
Tangu nakua nakupata ufahamu sikumbuki kama nshawahi kua na best friend na imekua hivyo hadi ukubwani sasa japo nina marafiki ambao interests zinatofautiana kutoka mmoja hadi mwingine....kwa kifupi sina shosti wa changu...
Jamani nimeshikwa na mshangao.com sijiu kama ni kawaida lakini mimi inanishangaza Mwanaume kupigwa na mkewe yani kupigwa haswaaa!
Hapa job kwetu kuna mtumishi mwenzetu anapigwa na mkewe yani anapewa kipondo cha uhakika anakuja kazini kuonyesha watu majeraha mara kang'atwa mara kapigwa na gongo...
Kumpenda mtu asiyekupenda ni kama mwanafunzi wa HGL kufaulu mtihani wa Hesabu,inabidi uwe na moyo mgumu kama bati la Alluminium..
Kwakweli inabidi kabla hujafall mzima mzima kama furushi la nguo chafu upime angalau kuna lita ngapi za Love kwenye tenki la huyo mtu,unaweza ukaanzisha safari ya...
She is not your sister, cousin, or even distant relative and she's somebody's wife and you are a man but you are busy texting her "dear umeamkaje, dear umekula, dear take care, dear have a good night, dear God is good...", ...
He is not your husband, brother or even distant uncle, you...
Kuna kibaka mmoja kabugi,wanasema siku za mwizi 40 basi yy ilikuwa ya 39,ilkuwa hivyi
Baada ya kuiba vituvingi kwenye nyumba moja akulidhika kakomba vitu vingi si kasahau deki kuludi akabananishwa na njemba limeshiba pandezote za mwili
JAMAA:Kumbe ndio ww unatakakuni lidisha nyuma twende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.