Candy kisses
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 297
- 211
[h=5]Kuna kibaka mmoja kabugi,wanasema siku za mwizi 40 basi yy ilikuwa ya 39,ilkuwa hivyi
Baada ya kuiba vituvingi kwenye nyumba moja akulidhika kakomba vitu vingi si kasahau deki kuludi akabananishwa na njemba limeshiba pandezote za mwili
JAMAA:Kumbe ndio ww unatakakuni lidisha nyuma twende huku.
Baada ya safari ndefu bila ya kuona kama atamdhulu jaama anasonga tu mara kitu cha kwanza wamekipita,
MWIZI:Mmmmh!!!!!!!
Mara kitu cha pili wanakipita
MWIZI:Mmmmmh!!!!!!!!!!!???......
Mara kituo cha tatu cha polisi nacho wanakipita
MWIZI:Akanza kupiga kelele jamani mimi mwinzi jamaniiiiii,jamaniiiiiiiii mimi mwiziiiiii watu kuja kumuoji yule jamaaa alikuwa anampeleka wapi yule mwizi Mmmmh unataka nimalizie,we ushajua kilicho taka kumtokea kwa mwizi[/h]
Baada ya kuiba vituvingi kwenye nyumba moja akulidhika kakomba vitu vingi si kasahau deki kuludi akabananishwa na njemba limeshiba pandezote za mwili
JAMAA:Kumbe ndio ww unatakakuni lidisha nyuma twende huku.
Baada ya safari ndefu bila ya kuona kama atamdhulu jaama anasonga tu mara kitu cha kwanza wamekipita,
MWIZI:Mmmmh!!!!!!!
Mara kitu cha pili wanakipita
MWIZI:Mmmmmh!!!!!!!!!!!???......
Mara kituo cha tatu cha polisi nacho wanakipita
MWIZI:Akanza kupiga kelele jamani mimi mwinzi jamaniiiiii,jamaniiiiiiiii mimi mwiziiiiii watu kuja kumuoji yule jamaaa alikuwa anampeleka wapi yule mwizi Mmmmh unataka nimalizie,we ushajua kilicho taka kumtokea kwa mwizi[/h]