Wadau,
Ninaomba kuuliza namna ambavyo biashara ya barbershop (saloon za kiume za kisasa) inaendeshwa?
Je maelewano kwenye upande wa mmiliki na vinyozi pamoja na wadada wanaofanya scrub, massage n.k inakuwaje?
Naomba mnisaidie,yawezekana mimi nawaza mawazo yangu yananipeleka kusiko.
Luis Shika ni mtu mwenye akili timamu,smart,anajua anachofanya na anafurahia anachofanya na jinsi alivyofanikiwa na upo uwezekano kuna watu nyeti kabisa wapo nyuma yake na wanajua wanachokifanya.
Ukitazama kwa jicho la...
Hivi Savanna na St anna si vinywaji ambavyo vimeingia juzi juzi tu hapa bongo.
Lakini mtu a
nakunywaaaa kama soda ya coca vile..
Mbona hawa watoto wa kike wanakomoa hivi[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
Mimi kama mpenzi wa Arsenal nimefurahi kusikia taarifa mpya za usajili wa mchezaji wa kimataifa kutoka Japani.
Ila kutokana na hii sheria ya mitandao nahisi nitakosa uhuru wa kufurahi pale mchezaji huyu atakapokuwa anafanya makeke yake uwanjani.
Najaribu kutafuta kifupi cha jina nitakalomwita...
Picha hizi ni maeneo ya Machame katika wilaya ya Hai ambayo mbunge wake ni Freeman Mbowe.
Kwa kweli inatia moyo kuona namna watu wa mkoa huu hususani wachagga wanapofanya uwekezaji katika maeneo yao. Na wanafuata ila falsafa inayosema 'Charity begins at Home'.
Na kwa sasa badala ya kujenga...
Tunaweza kusema ni maisha ya picha yaani maisha ambayo hayana uhalisia wowote.Kukua kwa tasnia ya habari na mawasiliano hususani kwenye upande wa mitandao ya kijamii kimesababisha kubadili mfumo wetu wa maisha aidha kwa kurahisisha upatikanaji habari au kwa kusababisha mfumo wetu wa maisha...
Umoja wa falme za Kiarabu umetoa orodha ya wanasiasa waandamizi wa Nigeria wanaomiliki mali na vitega uchumi huko.
Na wengi wao ni wale waliokuwa katika serikali iliyopita ya Goodluck Jonathan.
Hii ni vita dhidi ya ufisadi ambayo Rais Muhammadu Buhari ameianza katika kuhakikisha pesa...
Simu aina ya Blackberry bold 9900 inauzwa ikiwa na vifaa vyake vyote(kasoro boksi).
Inauzwa ikiwa na charger,headphones,battery kit(kifaa chake cha kuchajia battery) na CD zake.
Bei ni 230,000.
Simu: 0769223767
Tafadhali wadau wakala wa usajili wa biashara (Brela) wameanzisha mfumo wa usajili wa majina ya baishara kwa njia ya mtandao. Ila ni muda sasa mtandao huo unasumbua na haufanyi kazi. Na ukienda ofisi zao wanakataa kusajili.
Je kuna njia nyingine wadau ya kufanya?
simu kali aina ya lenovo vibex inauzwa kwa bei nzuri ya 450,000 na unapata na kava la simu
Kwa mawasiliano: 0715223767
specifications za simu hii ni kama ifuatavyo:
1. Operating system yake ni android
2. Internal memory ni 16 gb
3. Camera ni 13 mega pixel na front camera ni 5 megapixel
power bank aina ya parkman zikiwa na ukubwa wa mah(milli ampere hour) 10000 zikiwa na uwezo wa kuchaji simu za mkononi zinapatikana,na zikiwa katika rangi tofauti tofauti kama nyeupe,blue,pink na njano.
Bei ni shs 55000 tu!!
Kwa mawasiliano simu 0715223767
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.