NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 409
Tunaweza kusema ni maisha ya picha yaani maisha ambayo hayana uhalisia wowote.Kukua kwa tasnia ya habari na mawasiliano hususani kwenye upande wa mitandao ya kijamii kimesababisha kubadili mfumo wetu wa maisha aidha kwa kurahisisha upatikanaji habari au kwa kusababisha mfumo wetu wa maisha kubadilika na kutawaliwa na 'sanaa' zaidi.
Leo hii watu wanatumia mtandao kama Instagram kutengeneza mfumo wa maisha wa 'uongo' kabisa hali inayopelekea vijana wengine hususani ambao ni teenagers kuathirika kisaikolojia au kuvutiwa na mfumo huo wa maisha.
Leo hii watu wanatumia mtandao kama Instagram kutengeneza mfumo wa maisha wa 'uongo' kabisa hali inayopelekea vijana wengine hususani ambao ni teenagers kuathirika kisaikolojia au kuvutiwa na mfumo huo wa maisha.