Asalam Alaikum wanajamii
Omba ujaliwe vitu viwili hapa duniani
1) Mali (utajiri)
2) Akili
Sitaingilia kwenye dini kwasababu dini ni ya mtu binafsi na si yakulazimishana.
Wasalam
Ndugu usipoteze muda na huyo, miaka zaidi ya khamsini ya uhuru, shida ni zilezile na wala hazijapatiwa uvumbuzi na wasomi wetu, hao wanaojidai wamesoma.
Ukitembelea nchi za kiarabu zilizokuwa zinaendeshwa kiislamu ni nchi zilizo na maendeleo makubwa, ukilinganisha na tz.
Hapa nitatilia mkazo...
Asalam alaikum
Hii project kwakeli ni nzuri sana, mara ya mwisho kupanda mwendokasi ilikuwa 2016 na kiukweli uongozi waliopewa hii project ni watu wa hovyo kabisa. Mabasi yamejaa tele lakini wanayapaki na kusubiri watu wajae ili waje, na muda mwengine unaweza kusubiri mpaka nusu saa. Ukienda...
Ok, sasa elimu yetu ni ya kuajiriwa tu na wala sio ya kujiajiri, kuvumbua na kujaribu kuleta maendeleo yeyote nchini zaidi ya kujikita kwenye kuajiriwa. Hao hao wasomi na viongozi wakiumwa kidogo mbio india au ulaya kutibiwa, je kwasababu gani hawawamini madocta wetu wa hapa wa div 1. ?
Huoni...
Asalam alaikum ndugu wanajamvi
Mimi nina maswali machache..
Elimu ya hao vijana walioleta div 1 katika masomo yao, katika hizo shule zinazo ongoza kielemu. Ni faida gani waliyoileta kutokana na elimu yao katika jamii?. Na jee tumeona maendeleo mazuri ya maendeleo yenye kuonekana katika jamii...
Asalam Alaikum ndugu
Sitaongea sana lakini mwenye haki ya kutoa adhabu ya moto kwa binadamu ni Mwenyezi Mungu pekee na wala sio sisi binadamu. Kumchoma binadamu mwenzako haijahalalishwa katika kitabu chochote cha dini. Na kutii sheria ya nchi husika ni moja ya ibada.
Maudhui nzuri kama hii
Baada ya mda kidogo bila kuingiza neno humu jukwaani. Leo nimerudi kidogo.
Mleta mada unaushauri upi wa zanzibar kurudi kwa warabu? si ndio wakoloni wao. Najua hili swali litawaumiza wale wapenda wazungu...
Oke, turudi kwenye mada, swali lengine dogo tu, nini maana ya...
Utakuta ni jitu limesoma na lina jicheo jikubwa serikalini lakini jiakili lake limejazwa pumba ndani.
Mijitu kama hii ndio inayorudisha nyuma nchi. Ningependa kumuuliza hilo lijitu swali dogo tu, kama yeye anapenda msaada au kujitafutia mwenyewe riziki ?
Tz inamiaka maelfu nyuma na watu walikuwa...
Shida za ndugu zangu wa tz wanayo elimu katika kiganja chao lakini hawataki kuitumia kwa kuendeleza nchi yao. Wanafikiri wao wanapendwa saana na mayahudi. Wakati ukienda israel wayahudi weusi wako kwenye detention center kama wakimbizi. Na hao ni dini moja na kabila moja.
Na kwa myahudi hakuna...
Hahaha
Sipendelei kushiriki kwenye thread kama hizi.
Lakini ndugu zetu wa ------- wanafikiri wayahudi ni ndugu zao wa karibu kabisa kuliko hat jirani zake, wakati wayahudi wenyewe wanajiona ni bora na watu wengine ni m**bwa na m*ny*ni 2, na hii imo katika dini yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.