BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Naitwa Dr Matope, unaitwa Dr nani mwenzangu?!?!Mungu awabariki
Habari kama hii haitapata wachangiaji kabisa !!!!
Ndio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo! Asee..Haitapata wachangiaji mkuu sababu;
1 Madaktari ni waarabu na sio wazungu,myahudi wala waafrika. Hapo ndio utambue kuwa waarabu wanachukiwa sana na pande zote 3.ndio maana comments ni chache sana.
ukifatilia taaluma za hao madaktari utakuta wamesome kwa uwaitao ma kafiri hahhahahah utoto raha sanaKitabu kile hakijaacha kitu! Kimezungumzia kila kitu, fani zote hadi utabibu umo ndani ya Kitabu kile. Hope hawa mabingwa wametumia aya za Kitabu kile na sio utaalamu wa kikafir kufanikisha utabibu walioufanya. Hata hivyo hongera zao kwa kuokoa maisha badala ya kuyapoteza kama wafanyavyo wenzao wa nasaba hiyo.
Utaalamu wa kikafiri ndio upi?Kitabu kile hakijaacha kitu! Kimezungumzia kila kitu, fani zote hadi utabibu umo ndani ya Kitabu kile. Hope hawa mabingwa wametumia aya za Kitabu kile na sio utaalamu wa kikafir kufanikisha utabibu walioufanya. Hata hivyo hongera zao kwa kuokoa maisha badala ya kuyapoteza kama wafanyavyo wenzao wa nasaba hiyo.
Ndio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo! Asee..
Athari za michezo ya Tel AvivKitabu kile hakijaacha kitu! Kimezungumzia kila kitu, fani zote hadi utabibu umo ndani ya Kitabu kile. Hope hawa mabingwa wametumia aya za Kitabu kile na sio utaalamu wa kikafir kufanikisha utabibu walioufanya. Hata hivyo hongera zao kwa kuokoa maisha badala ya kuyapoteza kama wafanyavyo wenzao wa nasaba hiyo.
Bora useme kabisa kuwa unataka ulete agenda ya udini.Haitapata wachangiaji mkuu sababu;
1 Madaktari ni waarabu na sio wazungu,myahudi wala waafrika. Hapo ndio utambue kuwa waarabu wanachukiwa sana na pande zote 3.ndio maana comments ni chache sana.
Kwa hiyo na wewe unaweza ukafanya upasusji kama ule. Kwa nini hamkuungana nyingi wenyewe nchi nzima na kuwafanyia wale watoto upasusji?Kitabu kile hakijaacha kitu! Kimezungumzia kila kitu, fani zote hadi utabibu umo ndani ya Kitabu kile. Hope hawa mabingwa wametumia aya za Kitabu kile na sio utaalamu wa kikafir kufanikisha utabibu walioufanya. Hata hivyo hongera zao kwa kuokoa maisha badala ya kuyapoteza kama wafanyavyo wenzao wa nasaba hiyo.
Usiwe na chuki zisizo na kichwa wala miguu waliotenganishwa ni watz wenzio ila wangepelekwa india sioNdio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo! Asee..
Chuki kivipi sasa?!Usiwe na chuki zisizo na kichwa wala miguu waliotenganishwa ni watz wenzio ila wangepelekwa india sio
Sent using Jamii Forums mobile app