Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
- Thread starter
- #41
Hebu mkuu
Tujarib kuwa serious kwny issues zngne
N kwel kuwa hil nalo linahtaj siasa za ulumumba na ufipa kulielewa
Yan mtu arud ardhin mwako na aendeshe masuala kadha wa kadha ktk nchi yako.???
And stil tulete siasa zetu za ukijani na unyumbu???
Hvi wazee wetu walopoteza maisha yao kulikomboa bara hil tunawachukuliaje????
Ah
Nashindwa hata kuendelea kuandika kwa kwel
Na hii ndo jf
But they are here already! Kwani ni ccm wanaoendesha Acacia leo? Ni nani anaendesha Kilombero Sugar leo? Ni nani anae-control bank transactions kati ya CRDB na NMB sasa hivi? Ni nani anae-control communication satellite inayotuwezesha kutumiana sms kati ta Tigo na Vodacom (au air control kwa mawasiliano ya ndege nchini kwetu wenyewe)? Hebu nijibu mheshimiwa mwana lumumba.