Hatma ya Jerusalem: Tanzania yapingana na Trump UN

Sorry Mkuu katika hili uhuru ni hoja ya msingi lakini sio kipaumbele, Hapa hoja yenye kipaumbele ni Ukweli tena ukweli kuhusu Yerusalem kua ni mji mkuu halali wa Israeli kihistoria.


Uamuzi wa kusimama na Ukweli hauna uhusiano wowote na kua au kutokua kibaraka wa Marekani,Marekani haiwezi kudai umiliki wa ukweli, Ukweli ni wa Mungu na kila anaeukubali, mweusi mweupe, wanjano, mwekundu wote bila kujali ni wamarekani au sio.


La pili Ushoga this is simply morally wrong na hoja ya kuukataa inajengwa kwanza katika misingi kua ni uovu ambao una matokeo hasi kabisa kwa jamii baada ya hapo sasa labda ndio unaweza ukaleta hoja ya uhuru.


Tatizo ni kua hatuna misingi sahihi ya ndani ya kufanya maamuzi mara nyingi tunachemsha kwenye maamuzi sababu maamuzi mengi tunayoyafanya ni relative decisions, maamuzi yanayotokana na ushawishi wa nje kama vile tutaonekanaje, akina nani wanasema nini, watu wengi wanasemaje,upepo unakwendaje?badala ya msukumo wa ndani kwanza kama ukweli ni upi, jambo sahihi la kufanya ni lipi n.k


Mpaka tumefika mahali pa kua na misingi ya kweli ya kufanya maamuzi tutakua viongozi jina tuu, Miaka hio ya nyuma Uongozi wa Tz uliokua na tija ulitokana na kusimamia ukweli na kufanya maamuzi not for the sake of just being a leader lakini kufanya maamuzi yaliyotokana na ukweli. Sasa ivi tumebaki na jina tu peke yake, akitokea mwingine anaefahamu na kuusimamia ukweli ndio ivyo tena tunapotezwa mbaya.


Bottom line Inawezekana kabisa Kusimama na Israeli na bado ukawa huru, Kukataa Ushoga na Ukawa huru Yote yanawezekana kabisa.
=========
Inakuwa shida sana kuliongelea hili kama utaongea katika misingi ya kidini kwani hapo ndipo chimbuko la kwamba Israel ni Jerusalem. Hii ni nadhalia ambayo inatakiwa itafutiwe venue yake. Kama vile ambavyo nadhalia ya mahakama ya kadhi ilitafutiwa venue yake.
Tanzania kupitia katiba yake haiongozwi na maandiko ya Quran wala Biblia wala misahafu ya freemasonry. Ni nchi iliyojipambanua kwamba haina dini na haifuati hizo historia za vitabu. kwahiyo itakuwa shida sana kuliingiza hili kwenye haya mambo kwani ni Nje ya taratibu. Ipo siku tutatakiwa kuamua kuiunga mkono saudia au iran katika mgogoro wake au siku tutatakiwa kuamua kati ya kundi fulani na fulani ambayo yanatugawa kama taifa. So hakuna msingi wa kulazimisha kura yetu itambue kwamba israel ni Jerusalem kwani sio watanzania wote wanakubali lakini pia sio part ya msingi ya katika na mwongozo wetu.

ukiondoa hilo maamuzi pekee yanayobaki ni yale yanayoendana na makubaliano ya kimataifa ambayo hayapingi israel kuwepo wala palestine kuwepo bali yanahitaji peaceful solution. Huo ndio msimamo wa tanzania kwamba hakuna haja ya ubabe lazima kuwe na peaceful solution. Tumejiunga na ufaransa, Uingereza, China, Urusi na wengine total ni 128. ukitumia common sense tumijiweka kwenye kundi la wengi na huwa mnasema Mungu yupo na wengi.
 
Bullshit na ulaaniwe mwenyewe...
Hao israeli mimi siwajui wala wao hawanijui.
Yan nipoteze muda na watu tusiojuana kisa migogolo yao binafsi??
Kwa hiyo kama hao Waisrael huwajui imetokea je ukawajua wapalestina?
 
Kwa hiyo kama hao Waisrael huwajui imetokea je ukawajua wapalestina?
Mimi siwajui waparestina wala waislaeli wote nawasikia tu kwenye taarifa ya habari na vitabu....kwahio mimi sina bond yoyote na waisraeli hadi iwe eti nikiwa mind eti nalaaniwa.. kama kulaaniwa atalaaniwa anayeamina hayo mambo ya ajabu...
Yani watu wapigane kwa sababu zao alafu mimi nilaaniwe sababu sijamsupport mpuuzi mmoja..

Huu ujinga sijui watu wanautoa wapi
 
Mimi siwajui waparestina wala waislaeli wote nawasikia tu kwenye taarifa ya habari na vitabu....kwahio mimi sina bond yoyote na waisraeli hadi iwe eti nikiwa mind eti nalaaniwa.. kama kulaaniwa atalaaniwa anayeamina hayo mambo ya ajabu...
Yani watu wapigane kwa sababu zao alafu mimi nilaaniwe sababu sijamsupport mpuuzi mmoja..

Huu ujinga sijui watu wanautoa wapi
Shangaa ndugu yangu!

Jitu zima kabisa pengine lina watoto na mke juu.

Bila ya aibu anakwambia Tanzania tutalaaniwa kisa hatujaitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel.

Yani mtu kajijaza ujinga mpaka unamuonea huruma ukimfikiria.

Unashindwa hata kujua uanzie wapi kumtoa ujinga aliojijaza kwenye ubongo wake.
 
Shangaa ndugu yangu!

Jitu zima kabisa pengine lina watoto na mke juu.

Bila ya aibu anakwambia Tanzania tutalaaniwa kisa hatujaitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel.

Yani mtu kajijaza ujinga mpaka unamuonea huruma ukimfikiria.

Unashindwa hata kujua uanzie wapi kumtoa ujinga aliojijaza kwenye ubongo wake.
Hahahaaaa mkuu kuna watu wa ajabu sana dunia hii
 
Shangaa ndugu yangu!

Jitu zima kabisa pengine lina watoto na mke juu.

Bila ya aibu anakwambia Tanzania tutalaaniwa kisa hatujaitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel.

Yani mtu kajijaza ujinga mpaka unamuonea huruma ukimfikiria.

Unashindwa hata kujua uanzie wapi kumtoa ujinga aliojijaza kwenye ubongo wake.
Utakuta ni jitu limesoma na lina jicheo jikubwa serikalini lakini jiakili lake limejazwa pumba ndani.
Mijitu kama hii ndio inayorudisha nyuma nchi. Ningependa kumuuliza hilo lijitu swali dogo tu, kama yeye anapenda msaada au kujitafutia mwenyewe riziki ?
Tz inamiaka maelfu nyuma na watu walikuwa wanaishi, iweje leo huo msaada ndio uwatishe. Ajabu.

Kama ww mbongo wa hapo gongo la mboto umekusaidia nini huo msaada?
Tz inatakiwa ijitegemee yenyewe na si kusubiri misaada.
Mtu anayekusaidia msaada huwa anakufungu kiakili na kukufanya umtegemee yeye tu.
 
trump akili zake kama yule jamaa wa pale bungeni na NEC akiitambua zaidi cuf ya Lipumba huku kukiwa na migogoro ya kichama
 
TRUMP ANATEKEKEZA SHERIA ILITOPITISHWA KWA KURA NYINGI SANA NA BUNGE LA MAREKANI ( CONGRESS) IITWAYO ' JERUSALEM EMBASSY ACT OF 1995'
 
Mazee Tanzania ina influence bado. Labda Magufuliaiharibu tu.

Ban Ki Moon alipata kuwa Katibu Mkuu UN kwa sababu ya kampenikubwa ya Kikwete kushawishi nchi za Afrika zimkubali kwamba huyu ni mtu wetu.

Ndiyo maana Ban Ki Moon alivyopata kuwa SG, akamwambia Kikwete, nipemtu wako aje kuwa Under secretary General hapa UN. Ndipo Kikwete akampa shavu Mama Migiro.

Ila Mama Migiro kufika Turtle Bay, akaendekeza siasa kamaza CCM, mkubwa akae juu, mdogoamfuate mkubwa. Wakati pale ni siasa za ku network kwa sana.

Wakampiga chini.

Tanzania lazima wawe na rafiki zao Wapalestina. Tuna historia ndefu ya kupinga Uzayuni na Ukaburu.

Hawa Israel walimkosesha SalimAhmed Salimkuwa Katibu Mkuu wa kwanza wa UN kutoka Afrika.

Ningeshangaa sana Tanzania ingebadili msimamo wa mudamrefu kwenye hili.
Mm
Naambiwa hao wawili wslikuea School mate Germany!
Kuhusu JK kupigia kampeni hill sina hakika sana.
Suala la kuwa na historia ndefu Palestine ni kweli huo umekuwa msimamo wa SERIKALI YA TANZANIA lakini mioyoni watu wengi sana wana mawazo tofauti kabisa!
 
Tunawang'ang'ania waarabu hakuna walichotusaidia wala hawawezi. Tunaacha kuwa karibu na watu wenye akili. Bure kabisa

Bila waarabu ungejua kuandikw hii lugha unayotumia hapa.? unaita wayahudi wana akili. yaani kule kumsulubu kiongozi wa imani ya kuabudu kila weekend unakuita akili.
kijana unadai mshahara wako uliocheleweshwa na KKKT au?
 
Nikifuatilia mada kama hizi nakuja kugundua duniani tunaishi na watu wanafki sana. Tunaweza kuwa tunatembea barabarani, kukutana ofisini bar na hata kutembeleana majumbani tunachekeana na kusaidiana lakini mioyoni tumejaa chuki za kidini zinazosubiri kulipuka tu tuone rangi halisi za watu. Too sad aisee. Sijawahi kuwaza kama watu wana chuki za kidini kiasi hiki.
 
Mazee Tanzania ina influence bado. Labda Magufuliaiharibu tu.

Ban Ki Moon alipata kuwa Katibu Mkuu UN kwa sababu ya kampenikubwa ya Kikwete kushawishi nchi za Afrika zimkubali kwamba huyu ni mtu wetu.

Ndiyo maana Ban Ki Moon alivyopata kuwa SG, akamwambia Kikwete, nipemtu wako aje kuwa Under secretary General hapa UN. Ndipo Kikwete akampa shavu Mama Migiro.

Ila Mama Migiro kufika Turtle Bay, akaendekeza siasa kamaza CCM, mkubwa akae juu, mdogoamfuate mkubwa. Wakati pale ni siasa za ku network kwa sana.

Wakampiga chini.

Tanzania lazima wawe na rafiki zao Wapalestina. Tuna historia ndefu ya kupinga Uzayuni na Ukaburu.

Hawa Israel walimkosesha SalimAhmed Salimkuwa Katibu Mkuu wa kwanza wa UN kutoka Afrika.

Ningeshangaa sana Tanzania ingebadili msimamo wa mudamrefu kwenye hili.
Magufuli Magufuli Magufuli! Hivi hamchoki????? sasa jina la Magufuli limekuwa kama hadithi ya yule kipofu aliyejaaliwa kuona kwa muda mchache tu na bahati mbaya alimuona tembo. Hivyo baada ya upofu kumrudia ikawa kila anachohadithiwa anafananisha na tembo.
TANZANIA IMEKUWA NA MSIMAMO USIYOYUMBA TANGU TULIPOPATA UHURU. MISIMAMO HIYO ILITURUDISHA NYUMA SANA KIMAENDELEO LAKINI SERIKALI HAIKUYUMBA HATA KIDOGO. FOREIGN POLICY YA TZ INAJULIKANA NA HATA MATUKIO MAKUBWA YAKITOKEA UN, MSIMAMO WA TZ WALA SI WA KUTABIRI
 
Kuna msaada wa Israel kupanua hosp ya Mkapa dodoma. Kwa kura hii sijui kama wataendelea. Hawa viongozi sijui vipi!
Hii misaada ya kupewa na wanafiki ndio iliosababisha babu yangu kutumikishwa na mkoloni . we kwa fikra zako wayahudi wanatoa misaada kwa sababu ya kutupenda sana sisi watanzania au?
tazama Wanavyowafanya waafrika walioko Israel hapa.tena hawa ni WAISRAELI WEUSI




Ondoa fikra za kupenda misaada kijana.
la sivyo utumwa hautokuacha mpk unaingia kaburini.
 
Back
Top Bottom