Kama kichwa hapo juu, naomba nitoe somo kidgo kuhusu namna ya kurudisha au kutoa documents zako zilizofichwa na virus kwenye frash yako,.
ni rahis sana na haitakugharimu kitu chochote ,fuata maelekezo hapa chini halafu utafanikiwa .
1.weka frash yako kwenye pc ,
2.bonyeza start ,halafu bonyeza...
Kama kichwa hapo juu, naomba nitoe somo kidgo kuhusu namna ya kurudisha au kutoa documents zako zilizofichwa na virus kwenye frash yako,.
ni rahis sana na haitakugharimu kitu chochote ,fuata maelekezo hapa chini halafu utafanikiwa .
1.weka frash yako kwenye pc ,
2.bonyeza start ,halafu bonyeza...
Kama kichwa cha habari hapo juu,
Nahitaji kuingia net untresable lakini nashindwa kuinstall VPN sahihi kwenye PC yangu. Wananiomba visa nilipie but mi nahitaji free, vipi naipataje hiyo free? Naombeni utaalamu zaidi kwa wale wajuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivyotangulia kusema,nina Hp hd500,Ram 4,procesor 2.6
Nimeinunua ikiwa used product nikafomart kwa kupiga window kila kitu ikawa mpya kbsaa nikaitumia kwa muda wa masaa 3 nikaizima nimeamka kila nikiwasha inaleta vitu kama hivi, nikizima na kuwasha problem inaremain the same..naomba...
kuna uhusiano gani kati ya hizo channel zinazocheza nyimbo zilizopo katika billboard chart ( music on chart) kupiga nyimbo kwa upendeleo mkubwa nyimbo za nigeria zaidi..??
kwa mfano kama una king'amuzi cha startimes kuna channel kmaa st music inayopiga nyimbo za dunia zilizopo latika top chart...
tunajua kuwa Ugeruman na chile wanaongoza kundi kwa kuwa na point 4 kila mmoja bada ya kutoka sale mechi ya jana na hapo hapo Austria na cameroo wakiwa na point 1 kila mmoja bada ya kutoa sale jana....
swali langu najiuliza ikiwa kila mmoja kabakiza mechi moja moja kumaliza mzunguko wa...
Korea Kaskazini imesema zoezi la kujaribu makombora yake lilifanikiwa kwa asilimia 100 siku ya Jumapili.
Kombora hilo ni aina mpya yenye uwezo wa kubeba vilipuzi vingi zaidi.
Vyombo vya habari vya Korea Kaskazini vinasema jaribio hilo limeusisha kombora la masafa ya kati liitwalo...
kwa wale wapenzi wa nyimbo za billboard chart,UK.top 40, na Electronic dance music (EDM SONGS) mpya mpya na kali za hatari angalia hapa kisha tafuta upakue ..hutajuta...
N.B..sio kila wimbo mpya ni mkali ..kuna zingine zinakuwa mpya tu ila radha inakuwa ya kawaida....sasa hapa chini nimezipanga...
HABARI wana jamvi humu..?
Ebana mimi nimekuwa nikijiuliza hili swali kwa miaka mingi japo sikubahatika kusomea mambo ya kumputer ila nilisomea mambo mengine ..lakini nimefanya utafiti binafsi nikagundua kuwa wale wote wanaosomea computer engeneering,Information Technology(IT),computer science...
Haiwezekani matukio makubwa ya mauaji pamoja na haya ya utekaji yanazidi kushika kasi dhidi ya raia wema na polisi kwa ujumla yanashika kasi lakini upo kimya na hakuna juhudu thabiti unazofanya..
Unapruvu failure braza ,wizara imekushinda kweli..kuwa muwazi kwa hili,ni juzi juzi tu bunge...
Ameanza kwa staili hiii...
Hapo zamani za kale Abunuwasi alimuendea mfalme akamwambia anaweza kumshonea suti ya thamani sana ambayo wenye dhambi watakuwa hawaioni na wasio na dhambi tu ndio watakuwa wanaiona. Mfalme akampa kazi Abunuwasi ya kutengeneza suti ya aina hiyo kwa ajili yake. Kwa siku...
Habarini za mida hii wadau wa jukwa hatari la Jamii Intelligence..!!!
kama heading inavyojieleza hapo juu ..ninapenda kuwaomba wana jamvi wenzangu mlio na uelewa juu ya uwepo wa visible na invisible governments katika taifa kubwa duniani la U.S A kwani inasemekana kuwa kuna serikali mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.