SAYANSI YA ANGA ZA JUU YAPATA PIGO..
Na Danny Matiko
SAYANSI ya anga za juu imepatwa na pigo la kuondokewa na mwanaanga JOHN YOUNG (87) wa Marekani, aliyefariki.
Kwa mujibu wa msemaji wa Shirika la Anga za Juu la Marekani (NASA), Allord Beutel, Young alifariki kwa maradhi.
John ambaye mwaka...
Wakuu salamu,
Kuna binti ni rafiki yangu anasoma IFM ila toka juzi naona ana dalili zote za kujiua status anazopost ukiongea nae yote hii ni kwa ajili ya kutaka kujiua naomba nijue nitamsaidia vipi au kama kuna therapeutic counselling specialist nawapata vipi?
Nb: Sababu kuu ni kuachwa na...
Wanajamii, husika na kichwa hapo juu,
Kuna binti toka nifike chuo tumekua tukipendana sana na tukiwa na miadi na malengo ya kuoana mara tu tumalizapo masomo.
Tumekuja kutofautiana kitu kimoja yeye ni muumini mzuri wa dini ya kiislamu na mimi ni mkristo lakini nisieamini uwepo wa Mungu shortly...
Wakuu msaada hapo kama kichwa kinavyojieleza pc yangu compaq ile monitor au screen inacheza cheza mpaka niiegemeshee mezani au ukutani asa nikafikir solution nipate housing au kama kuna solution lingine nitashukuru na kama n housing nitapata wapi na kwa gharama kiasi gani
Natanguliza shukran
Wakuu nimekutana na hii laptop ebay mtandaoni ina specs nzuri mno kama core i7 hdd 1tb inauzwa kama usd 150 katika malipo imeonekana inatakiwa niwapatie kadi yangu ya benki pamoja na namba ya siri...... Hapo nimekwama kidogo naombeni uhakika juu ya hili suala na usalama wa pesa yangu maana...
*Habari za wakati huu ndugu*
*Kama upo maeneo ya DSM, MWANZA, MOSHI, ARUSHA, MBEYA, KIGOMA na Bukoba*
*Na unahitaji PART TIME JOB YA WIKI.3 tuuh kwa Siku elfu.50 unalipwa bhas Tuendelee kumuomba Mungu azidi kutufungulia milango ya baraka..*.
KULA NIKULE: Wananchi wa kijiji kimoja huko Indonesia, wamemgawana na kumla chatu mmoja aliyejaribu kumla mlinzi wa shamba la minazi. Awali mlinzi huyo alizidiwa nguvu na chatu huyo katika mapambano ambapo baada ya kelele za kuomba msaada wanakijiji wenzake walifika kumuokoa. Kwa hasira...
Mambo-ya-Pesa
*Kuna dem mmoja kaja home kaniomba pesa nikamwambia sina cash labda bank au M pesa akanambia hapo barabarani kuna wakala twende tukatoe, wakati tunatoka nikamtext mshikaji wangu nikamwambia mi nakuja hapo kwa wakala nikifika karibu nitajifanya kama naongea na simu halafu we...
Katika pitapita zangu internet nimekutana na hii habari watu kuuawa huko rhohingya na kupelekea kukimbia makazi yao kuelekea bangladesh huku lawama zikitupwa kwa serikari ya myanamar na UN..... Nini hasa kinaendelea huko????
Husika na kichwa hapo juu the bold popote ulipo unakumbukwa sana kwa post zako zenye kuelimisha na kubuludisha pia kina D. B Cooper, Friday night robber,ule wizi wa almasi ufalansa ni baazi tu ya post zako zilizotuelimisha mnoo niffah fikisha ujumbe huu tafazali
Husika na kichwa hapo juu the bold popote ulipo unakumbukwa sana kwa post zako zenye kuelimisha na kubuludisha pia kina D. B Cooper, Friday night robber,ule wizi wa almasi ufalansa ni baazi tu ya post zako zilizotuelimisha mnoo niffah fikisha ujumbe huu tafazali
Husika na kichwa hapo juu,
Mimi ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili naingia sasa mwaka wa kwanza wote napokea boom lakini sijaona cha maana chochote nilichofanyia na hiyo pesa sina msichana sina matumizi makubwa siendi club, wala sehemu zozote za starehe, nataka nikiingia mwaka wa pili niwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.