Nifanye nini nikiwa chuo ili nikimaliza nisitegemee ajira?

Asclepius

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
694
729
Husika na kichwa hapo juu,

Mimi ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili naingia sasa mwaka wa kwanza wote napokea boom lakini sijaona cha maana chochote nilichofanyia na hiyo pesa sina msichana sina matumizi makubwa siendi club, wala sehemu zozote za starehe, nataka nikiingia mwaka wa pili niwe tofauti nianze ku think mbali nisikae nikitegemea kumaliza na kuajiriwa na ajira sio uhakika siku hizi.

Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very simple kabisa.
Fuata kanuni hii, na utafanikiwa...
1/Angalia fursa za kibiashara/kipato ndani ya mazingira yako hayo hayo hapo chuoni, haijarishi zitakuwa ndogo kiasi gani, wewe anza nazo (Lengo ni kuondoa AIBU na WOGA katika kujiajiri).

2/Fikiria ni namna gani unaweza ukatumia Likizo zako kupata maarifa ya ziada, Uzoefu na Kipato chochote.
(Ukiweza jitolee hata kwenda kuuza dawa kwenye phamacy yoyote kubwa, au hata kwenda kusafisha vidonda hospitali au kukusanya data kwenye kitendo cha utafiti, kwa Profile yako ya kusoma MD1 tu, kamwe hawawezi kukukatalia).
 
Mdogo wangu nikushauri kitu?

Maisha hayana formula, usikariri na wala usilazimishe vitu. Kwa sasa wewe ni mwanafunzi fanya uanafunzi. Utakapokuwa mjasiriamali utafanya ujasiliamali. Ukiwa mwanafunzi unatakiwa ufanye uanafunzi. Soma kwa bidii, nenda club, kesha library, hanagaika na masomo huo ndio uanafunzi. Usipofanya sasa amini nakwambia ipo siku maishani mwako utataka kufanya haya!

Wewe ni mwanafunzi wa udaktari unaogopa nini kuhusu ajira? Aliyekwambia madaktari hawana ajira nani au kwa kuwa unadhania kuajiriwa lazima uajiriwe serekalini?

Ikifika mahali pa ujasiliamali utafanya kaka. Usipindishe njia ya maisha. Enjoy uanafunzi wako, hakuna mashindano duniani kaka!
 
Husika na kichwa hapo juu mm ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili naingia sasa mwaka wa kwanza wote napokea boom lakini sijaona cha maana chochote nilichofanyia na hiyo pesa sina demu sina matumizi makubwa siend club wala sehemu zozote za starehe nataka nikiingia mwaka wa pili niwe tofauti nianze ku think mbali nisikae nikitegemea kumaliza na kuajiriwa na ajira sio uhakika siku hizi........ Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa Venture Capitalist, wekeza kwenye kampuni ndogo za biashara unazozipenda kwa kuongezea mitaji
 
Mdogo wangu nikushauri kitu?

Maisha hayana formula, usikariri na wala usilazimishe vitu. Kwa sasa wewe ni mwanafunzi fanya uanafunzi. Utakapokuwa mjasiriamali utafanya ujasiliamali. Ukiwa mwanafunzi unatakiwa ufanye uanafunzi. Soma kwa bidii, nenda club, kesha library, hanagaika na masomo huo ndio uanafunzi. Usipofanya sasa amini nakwambia ipo siku maishani mwako utataka kufanya haya!

Wewe ni mwanafunzi wa udaktari unaogopa nini kuhusu ajira? Aliyekwambia madaktari hawana ajira nani au kwa kuwa unadhania kuajiriwa lazima uajiriwe serekalini?

Ikifika mahali pa ujasiliamali utafanya kaka. Usipindishe njia ya maisha. Enjoy uanafunzi wako, hakuna mashindano duniani kaka!
Sikubaliani nawew...kusoma ni kuishi, huwezi ukaanza kuishi baada ya kumaliza kusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mdogo wangu nikushauri kitu?

Maisha hayana formula, usikariri na wala usilazimishe vitu. Kwa sasa wewe ni mwanafunzi fanya uanafunzi. Utakapokuwa mjasiriamali utafanya ujasiliamali. Ukiwa mwanafunzi unatakiwa ufanye uanafunzi. Soma kwa bidii, nenda club, kesha library, hanagaika na masomo huo ndio uanafunzi. Usipofanya sasa amini nakwambia ipo siku maishani mwako utataka kufanya haya!

Wewe ni mwanafunzi wa udaktari unaogopa nini kuhusu ajira? Aliyekwambia madaktari hawana ajira nani au kwa kuwa unadhania kuajiriwa lazima uajiriwe serekalini?

Ikifika mahali pa ujasiliamali utafanya kaka. Usipindishe njia ya maisha. Enjoy uanafunzi wako, hakuna mashindano duniani kaka!
Soma kwa bidii afu nendaa Club. .
duuu

Nokia ya Torch
 
Nenda nje ya box kama huyu
4a60c22a6762d7db1d286ec1a07eee69.jpg


blame no body
 
Mdogo wangu nikushauri kitu?

Maisha hayana formula, usikariri na wala usilazimishe vitu. Kwa sasa wewe ni mwanafunzi fanya uanafunzi. Utakapokuwa mjasiriamali utafanya ujasiliamali. Ukiwa mwanafunzi unatakiwa ufanye uanafunzi. Soma kwa bidii, nenda club, kesha library, hanagaika na masomo huo ndio uanafunzi. Usipofanya sasa amini nakwambia ipo siku maishani mwako utataka kufanya haya!

Wewe ni mwanafunzi wa udaktari unaogopa nini kuhusu ajira? Aliyekwambia madaktari hawana ajira nani au kwa kuwa unadhania kuajiriwa lazima uajiriwe serekalini?

Ikifika mahali pa ujasiliamali utafanya kaka. Usipindishe njia ya maisha. Enjoy uanafunzi wako, hakuna mashindano duniani kaka!
Uko sahh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nilishawahi Kuwa na wazo Kama lako wakati nikiwa chuo Kikuu..

Nilipokuwa first year nilipanga pindi nimalizapo chuo nifungue company yangu binafsi au organization..
Lakini ktk mwaka huo huo first year nilibahatika kufanya field ktk organization flani, nilikuwa inspired jinsi wanavyofanya kaz maana ilikuwa target yng baada tu ya kumaliza masomo nifanye Kaz kwny company/organization yangu...

Lakini nilifikiria nikaona ili company / organization yangu ikue itanihitaji alteast 2years to 3years... Nikaona hiyo miaka miwili au mitatu nitakua nafanya nini baada ya kumaliza chuo wakati nikisubiri ku raise profile ya organization/company.

Nilipofika mwaka wa pili nikaamua rasmi kuanzisha na kusajili taasisi yangu ili iweze ku-compensate miaka 2 ijayo ili kukuwa na kufahamika... Niliomba baadhi ya classmates wangu kuungana nami lakini wote hawakuwa tayari maana waliona hakuna manufaa yoyote wangeyapata kwa kipindi hicho...

Kwasababu ilikuwa comfort zone yangu nikaamua kutumia Pesa yangu ya matumizi kutengeneza katiba + kusajili + kudesign website...

Baada ya hapo nilikuwa natumia muda mwingi kuipromote na kupost kwenye website makala zangu (zilikuwa inahusu changamoto zinazokabili jamii yangu)

Nikiwa mwaka wa 3 nilipata fursa ya kufanya kazi kupitia organization yangu in partnership na organization nyingine kubwa...

Nilianza ku-earn japokuwa kidogo sana hasa katika seasonal projects, kupitia hizo project nilipata kiasi Fulani cha Pesa nikaamua kununua piki piki 2, 1 kwa ajili ya matumizi yangu, nyingine nikamkabidhi mtu kwa ajili ya kuifanyia biashara...
Lakini baada ya miezi kadhaa niliuza piki piki kulingana na usumbufu niliokuwa na upata kutoka kwa mtu niliyempa kufanya biashara (in short hakuwa mwaminifu na hakuwa makini )

Nilipokuwa mwaka wa mwa mwisho chuo (fourth year, nimesoma Engineering) nilianza kupata wasiwasi juu hatima ya maisha yangu baada ya kumaliza chuo maana sikuwa na stable financial katika taasisi yangu, nikiwa nimebakiza mwezi mmoja kumaliza chuo niliapply kazi sehemu fulani nikaitwa interview.. Katika interview Mimi ndio nilikuwa mdogo kuliko wote na alikuwa anatakiwa mtu mmoja.
Kwa bahati nzuri nipata ile nafasi na nikafanya kazi kama miezi 3 nikaacha maana haikuwa comfort zone yangu na nikaona taasisi yangu inakufa kulingana kuwa busy na kazi kuliko kuendeleza taasisi.

Kuanzia hapo sijawahi kuomba kazi sehemu yoyote lakini ninaishi kupitia kufanya kazi kwenye taasisi yangu japokuwa bado ndogo inaendelea kukuwa.

Negative Impacts nilizokumbana nazo kulingana na maamuzi yangu:-
1. Attendance yangu darasani ilipungua hivyo performance yangu ilishuka japokuwa sikuwahi kupata surp hata 1
2. GPA yangu haikuwa nzuri sana, ilikuwa moderate, nilikuwa na 2nd class.
3. Idadi ya marafiki ilipungua sana maana muda mwingi nilikuwa busy na mambo yangu
4. Nilikuwa naongoza kwa kuzima moto darasani maana muda mwingi nilikuwa busy..

Nimeshare experience yangu kidogo ila sikushauri ufate kama Mimi nilivyofanya lakini jambo la msingi angalia Comfort zone yako ni ipi na sio copying & paste

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Husika na kichwa hapo juu mm ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili naingia sasa mwaka wa kwanza wote napokea boom lakini sijaona cha maana chochote nilichofanyia na hiyo pesa sina demu sina matumizi makubwa siend club wala sehemu zozote za starehe nataka nikiingia mwaka wa pili niwe tofauti nianze ku think mbali nisikae nikitegemea kumaliza na kuajiriwa na ajira sio uhakika siku hizi........ Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta vibali ufanye biashara ya kuni inalipa ajabu...mm n Mwalim ila nafkilia kuacha kaz nizd kujitanua kibiashara


Mtaji n wakawaida mfano ukichukua fuso la saiz ya kat n kuni 1500 ....gar lak 3 ...bei ya kuni hzo lak 180000 kwa wew huna lesen n lak 3 ...so ukiwa na lak tisa unaanza...

Kuni 1=1000
Kuni 1500=1500000 faida lak 5 mm huwa napat kwa siku kumi na nna 23 years cna familia... Jarbu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A qualified teacher from garissa,vipi kazi gani unayotaka kuàchà wakati badò unatafuta kazi
Tafuta vibali ufanye biashara ya kuni inalipa ajabu...mm n Mwalim ila nafkilia kuacha kaz nizd kujitanua kibiashara


Mtaji n wakawaida mfano ukichukua fuso la saiz ya kat n kuni 1500 ....gar lak 3 ...bei ya kuni hzo lak 180000 kwa wew huna lesen n lak 3 ...so ukiwa na lak tisa unaanza...

Kuni 1=1000
Kuni 1500=1500000 faida lak 5 mm huwa napat kwa siku kumi na nna 23 years cna familia... Jarbu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta vibali ufanye biashara ya kuni inalipa ajabu...mm n Mwalim ila nafkilia kuacha kaz nizd kujitanua kibiashara


Mtaji n wakawaida mfano ukichukua fuso la saiz ya kat n kuni 1500 ....gar lak 3 ...bei ya kuni hzo lak 180000 kwa wew huna lesen n lak 3 ...so ukiwa na lak tisa unaanza...

Kuni 1=1000
Kuni 1500=1500000 faida lak 5 mm huwa napat kwa siku kumi na nna 23 years cna familia... Jarbu

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo biashara unaifanyia wapi mwalimu ..??
Na hizo kuni unazitolea wapi na vibali pia vinapatikana wapi. .??
Na soko je. ..??

Nokia ya Torch
 
Mdogo wangu nikushauri kitu?

Maisha hayana formula, usikariri na wala usilazimishe vitu. Kwa sasa wewe ni mwanafunzi fanya uanafunzi. Utakapokuwa mjasiriamali utafanya ujasiliamali. Ukiwa mwanafunzi unatakiwa ufanye uanafunzi. Soma kwa bidii, nenda club, kesha library, hanagaika na masomo huo ndio uanafunzi. Usipofanya sasa amini nakwambia ipo siku maishani mwako utataka kufanya haya!

Wewe ni mwanafunzi wa udaktari unaogopa nini kuhusu ajira? Aliyekwambia madaktari hawana ajira nani au kwa kuwa unadhania kuajiriwa lazima uajiriwe serekalini?

Ikifika mahali pa ujasiliamali utafanya kaka. Usipindishe njia ya maisha. Enjoy uanafunzi wako, hakuna mashindano duniani kaka!
Ridiculous

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom