Asclepius
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 694
- 729
Husika na kichwa hapo juu,
Mimi ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili naingia sasa mwaka wa kwanza wote napokea boom lakini sijaona cha maana chochote nilichofanyia na hiyo pesa sina msichana sina matumizi makubwa siendi club, wala sehemu zozote za starehe, nataka nikiingia mwaka wa pili niwe tofauti nianze ku think mbali nisikae nikitegemea kumaliza na kuajiriwa na ajira sio uhakika siku hizi.
Nakaribisha mawazo yenu wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili naingia sasa mwaka wa kwanza wote napokea boom lakini sijaona cha maana chochote nilichofanyia na hiyo pesa sina msichana sina matumizi makubwa siendi club, wala sehemu zozote za starehe, nataka nikiingia mwaka wa pili niwe tofauti nianze ku think mbali nisikae nikitegemea kumaliza na kuajiriwa na ajira sio uhakika siku hizi.
Nakaribisha mawazo yenu wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app