Nimeangalia sana hii kitu. Yaani tunatumia gharama kununua vitanda bure.
Hii kitu unaweza tumia tu tofali, zege na ukachanganya tiles ikatoka safi zaidi ya hapo
Wanajeshi wetu kweli mnatuua kweli!! Mnatusaliti kisa watu wachache? Zanzibar Leo ni Usiku wa (Mashahid) Mtazilipa hizi nafsi hakika, Ewe Mola wetu Sisi waja wako Hatuna Silaha zozote Wanyonge na Wadhaifu.Tunateseka na wenye Silaha nzito za moto tena tukiwa tunawalipa mishahara kwa kodi zetu...
Wasifu mfupi wa Robert Amsterdam, mwanasheria wa Mgombea Urais #Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu
Kuzaliwa: 1956
Uraia: Canada
Eneo la Ubobezi: Sheria ya Kimataifa
Baadhi ya wateja mashuhuri
Mikhail Khodorkovsky
Thaksin Shinawatra
Nchi ya Uturuki
Kim Dotcom
(1)Amsterdam was born...
#NewGeneration[emoji146] : Je, ni nani Mfalme wa Kizazi kipya cha Rap/HipHop Bongo?
KINGS: (@younglunya x @iamconboi x @rapcha_tz x @maarifabigthinker x @kontawaa)
#WasafiDigital #BongoFleva #NewGeneration
nimeangalia video sijarizishwa na ulinzi wa mgombea wenu kabisa, kaeni kama chama mrekebishe hii, muangalie na ile alipotoka kuongea na askari wakati anaondoka anakumbatiwa na mtu yuko kifua wazi, walinzi hawatakiwi kuruhusu hilo.
Usalama Walisu Niwaovyo Sana Hata Diamond au Harmonize...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.