Sabah Al Kher waungwana.
Hivi waandishi wa habari waTBC wanatokea chuo gani ? au wanachukuliwa toka mitaani bila kupitia kozi yoyote. Tafadhali nijuzeni haiwezekani taasisi nzima haina hata mtu mmoja mbunifu.Au wamespeshalaizi kuwaudhi watizamaji ?
Mbona mtu ukiangalia tiivii za Kenya. Uganda au...
Nawashangaa sana wachungaji wa KKKT hasa jimbo la magharibi DMP. Kwa mwezi mzima utsmuona kanisani mara 2. siku ya chakula cha Bwana na siku nyingine mwisho wa mwezi lkn huwa kazi ya kuhubiri neno anamuachia mwinjilisti na parish waka. Siku hizi ma parish waka hawafanyi kazi zao za sunday school...
Nawashangaa sana wachungaji wa KKKT hasa jimbo la magharibi DMP. Kwa mwezi mzima utsmuona kanisani mara 2. siku ya chskula cha Bwana na siku nyingine mwisho wa mwezi lkn huwa kazi ya kuhubiri neno anamuachia mwinjilisti na parish waka. Siku hizi ma parish waka hawafanyi kazi zao za sunday school...
Hebu Vodacom tujuzeni kulikoni tangu jana tumenunua LUKU mpaka leo asubuhi hakuna token wala neno lolote. Tumrlipia huduma mbali mbali hela mmekata lakini haifiki kunakohusika. Kwanini mhamishe/mkate pesa kama mnajua hazitafika sehemu husika ?
Tunaomba majibu ya kuridhisha. Kumbuka safari hii...
Kwanza alidanganya kwamba aliingiza mzigo wenye vifaa vya shule kumbe ndani kuna matrekta na mashine za kunyunyizia dawa shambani. Hivi sio vifaa vya walimu wa Dar es Salaam.
Pili.. Yeye kama mtumishi wa umma hapashwi kupokea zawadi binafsi. Hiyo itakua ni rushwa haina jina jingine. Ukipewa...
Kwanza alidanganya kwamba aliingiza mzigo wenye vifaa vya shule kumbe ndani kuna matrekta na mashine za kunyunyizia dawa shambani. Hivi sio vifaa vya walimu wa Dar es Salaam.
Pili.. Yeye kama mtumishi wa umma hapashwi kupokea zawadi binafsi. Hiyo itakua ni rushwa haina jina jingine. Ukipewa...
Kitu nilichogundua ni kwamba kwa mwanaume wa Kitanzania kukaa bila mchepuko au nyumba ndogo haiwezekani nyumba kubwa ukiwahi kufika nyumbani kero ukichelewa Kero ukiomba mchezo nimechoka au tumbo linaniuma au subiri halafu mnaishi kwa mazoea mno.
Wapendwa. Tujihadhari sana tuingiapo gesti na vimada. Kuna gesti Dar zina cctv. Ukiingia tu na kuanza mchezo wako mhudumu anawaita rafiki zake wakuone unavyofanya huku wakikurekodi. Inasikitisha sana kuona wengi tuliowashuhudia kwenye hizi cctv wanafanya mambo ya ajabu sana. Kulambana sehemu za...
Naiomba serikali kama kweli ina nia nzuri ya kuhifadhi mazingira. Ipige marufuku mifuko myeusi ya rambo. Rwanda. Kenya na Zanzibar wameweza. Tushindwe sisi tunanini ? Kila mmoja wetu atakubali kwamba Zanzibar sasa kunapendeza. Njoo huku Buguruni. Vingunguti. Tabata hali inatisha
Siku sita zilizopita nilimtumia mwanangu Tsh 100,000 Mpesa i.e vodacom kwenda tigo. Ile hela haikwenda ila nilipata ujumbe niende kwa wakala wa vodacom. Wakala aliniambia hela ime hang na itarudishwa baada ya 72 hrs. Baada ya siku tatu nilirudi kwa wakala kumuuliza akasema vodacom bado...
Haya mambo yasipokua regulated vzr yataleta madhara baadae. Kubet na kamari. Kila kichochoro cha Dar utakuta kibanda cha kamari au kubeti. Bodaboda nao wasipoangaliwa.
Hii tabia yao ya kujichukilia sheria mikononi itatupeleka pabaya..
Prof. Muhongo tangu upewe dhamana ya wizara ya umeme tumeshuhudia umeme kukatika Mara nyingi kuliko kipindi ulichokua huhusiki. Huoni kwamba ni wakati muafaka uachie ngazi ili tupate mpiganaji anayeweza kwenda na kasi ya hapa kazi tu.
Prof. Muhongo tangu upewe dhamana ya wizara ya umeme tumeshuhudia umeme kukatika Mara nyingi kuliko kipindi ulichokua huhusiki. Huoni kwamba ni wakati muafaka uachie ngazi ili tupate mpiganaji anayeweza na kasi ya hapa Nazi tu.
Pamoja na kuwa NEMC wamekuwa wakipiga marufuku mifuko ya plastic lakini bado imekuwa ikizagaa hovyo mitaani.
NEMC naomba mlifanyie kazi suala hili maana mazingira yanazidi kuchafuka.
Mbona plastic bags zinazidi kuongezeka?
Huyu mheshimiwa kamishna wa kkusimamia maadili ya viongozi kkazi zake ni zipi ? Alishawahi kumuadibisha kiongozi yoyote ?
Mbona TRA na Mainginia wa TANROADS wanapiga dili na wachina ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.