Kutuma hela kwa mpesa. Do it at your own risk

Dindira

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
2,912
3,462
Siku sita zilizopita nilimtumia mwanangu Tsh 100,000 Mpesa i.e vodacom kwenda tigo. Ile hela haikwenda ila nilipata ujumbe niende kwa wakala wa vodacom. Wakala aliniambia hela ime hang na itarudishwa baada ya 72 hrs. Baada ya siku tatu nilirudi kwa wakala kumuuliza akasema vodacom bado wanashikilia hela. Nikapiga vustomer service nikaambiwa hela bado ime hang ila itarudi baada ya saa sita na dkk kumi. Baada ya muda kuisha nikapiga tena. This time nikaambiwa hela itarudishwa baada ya another 72 hours. Imagine usumbufu ninaopata na poor service ya customer service. Baadae wakanitumia msg (nitaiweka hadharani ) inasema hela itarudishwa walati wowote. Na imagine ningetuma M ingekuaje ? Mwenye uzoefu anifafanulia nini maana ya hela ku hang
 
Pole aisee. Kwa kweli huu ni usumbufu ulioje. Imagine ingekuwa ni emergency situation and pia huna hela zingine, duh ! Ila labda ni kweli Voda ndio wana issue kama mdau alivyo sema hapo juu. Mimi natumaga hela kwa MPESA,na siku transaction ikiwa na hitilafu, eg hela kuto kwenda , zinarudishwagwa in my account in matter of minutes. A little disclaimer though, MPESA mimi nivyotumia ni kutoka kwenye app ya wave to recipients' MPESA account.
 
Siku sita zilizopita nilimtumia mwanangu Tsh 100,000 Mpesa i.e vodacom kwenda tigo. Ile hela haikwenda ila nilipata ujumbe niende kwa wakala wa vodacom. Wakala aliniambia hela ime hang na itarudishwa baada ya 72 hrs. Baada ya siku tatu nilirudi kwa wakala kumuuliza akasema vodacom bado wanashikilia hela. Nikapiga vustomer service nikaambiwa hela bado ime hang ila itarudi baada ya saa sita na dkk kumi. Baada ya muda kuisha nikapiga tena. This time nikaambiwa hela itarudishwa baada ya another 72 hours. Imagine usumbufu ninaopata na poor service ya customer service. Baadae wakanitumia msg (nitaiweka hadharani ) inasema hela itarudishwa walati wowote. Na imagine ningetuma M ingekuaje ? Mwenye uzoefu anifafanulia nini maana ya hela ku hang
Weka hiyo msg hadharani ili tuweze kutoa mchango wetu wa mawazo.
 
Mpesa to Mpesa haijawahi sumbua ila hii ya kutuma mpesa kwenda tigo pesa na hasa hawa tigo....do it at your own risk. Line ya tigo nataka kuirecycle
 
Sijui kama kuna mtu responsible wa vodacom yuko humu. Wale wa customer service ni farce.
 
Siyo Voda tu hata TIGOPESA nao ni kimeo, Wahudumu wao wanakupa matumaini kuwa pesa yako itafika ulikotuma baada ya muda mfupi kumbe ni kukufurahisha tu. Hasa ukituma pesa siku za weekend ni bomu kabisa.
 
Back
Top Bottom