NEMC na marufuku ya plastic bags, mbona zinazidi?

Dindira

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
2,912
3,466
Pamoja na kuwa NEMC wamekuwa wakipiga marufuku mifuko ya plastic lakini bado imekuwa ikizagaa hovyo mitaani.

NEMC naomba mlifanyie kazi suala hili maana mazingira yanazidi kuchafuka.

Mbona plastic bags zinazidi kuongezeka?
 
Waziri mhusika alisema ifikapo January ? Hatutaziona tena Kama Kyle Znzibar
 
Bongo hii usanii unazidi walizuia halafu watengenezaji wakazibadilisha rangi wakasema zitakwa biodegradable kumbe usanii mtupu ndio yaleyale mbona zanzibar wameweza?
 
Pamoja na kuwa NEMC wamekuwa wakipiga marufuku mifuko ya plastic lakini bado imekuwa ikizagaa hovyo mitaani.

NEMC naomba mlifanyie kazi suala hili maana mazingira yanazidi kuchafuka.

Mbona plastic bags zinazidi kuongezeka?
Magufuri anataka viwanda viongezeke, unataka wao wavipunguze. Kuna kiwanda wanatengeza hiyo mifuko hapa hapa Tz.
 
Back
Top Bottom