Naamini hamjambo.
Naomba tushauriane juu ya hili swala linalohusu familia zetu. Kama tujuavyo katika mahusiano migongano haikosekani. Mingine hata kuitatua Ni vigumu sana, hata hivyo kama muwazazi ni muhimu sana kuwaweka mbali watoto wetu na migongano yetu.
Si unajua tena wakati mwingine ni...
Mko bomba bandugu?
Kama mjuavyo Tena mwali kakua, hayawihayawi yamekuwa. Tuko kwenye uchumi wa kati sasa Asante Mungu. Kwa heshma naomba tu kuwakumbusha kuwa hapa tulipo syo tena 'kuchuuza' friendly, zile mingo zetu pendwa za kununua kitu nguo Kariakoo na kutembeza Mwananyamala hazilipi.
Uchumi...
Ukimpenda mtu unatamani akupende pia lakini vipi kama yeye hakupendi! Unamshawishi na hapo unafiki unaanza. Ukimchukia mtu unatamani wote wamchuke, unazungumzia vibaya mpaka unaonekana fala tu. Yaani upendo na chuki havifichiki kirahisi.
Njia salama ya kulinda amani na heshima yako ni kuwa kati...
Usimvurugie mipango Kama umekutana nae mjini ,mwache aende. Isipokuwa unajovika jukumu la kumsaidia kufikia ndoto yake,achana nae tu.
Anaweza kuwa mrembo sana anavutia mno lakini kama bado ana hustle kufanikisha ndoto zake achana nae.
Tuelewane mabaharia wazuri hawaishi. Utapata mwingine huyu...
Mimi na mama Jailos tumeishi miaka kadhaa, tumejaliwa watoto wawili tu Jay na dada yake Jannie.
Nimestaafu mwaka jana nikiwa na nyumba moja ninayoishi na kibanda kilichoko Kisiju katika shamba la mikorosho. Sisi ni washika dini sana na Mimi ni mzee wa kanisa hapa mjini ninapoabudu wakati mama...
Wengi wakijifanya wanakujua sana usiogope, watazameeee Kisha sema hiiiiii! Unajua nini bro hata mama yako kakuzaa tu ila hakujui kivile, sembuse washikaji wa kwenye kijiwe cha bodaboda/kahawa! Endelea na Mingo zako bana hawakujui
Tena wasikutishe kabisa kwanza hata wewe mwenyewe hujijui Kama...
Mithali 4:1, Yohana 1:1_3
Hapo kuna mantiki ya kusikiliza, neno hunenwa ili lisikilizwe, neno huleta maarifa hekima na ufahamu. Hata neno baya Lina faida lisikilize tu hata likisemwa na mwehu lisikilize na ulitafakari.
Katika kusikia utajua nia ya mtu mwema au mwovu, mwenye kejeli au lawama...
Maisha yetu yana raha isiyopatikana popote duniani, sema ni vile tu mabeberu hayatakagi kutuelewa. Tunastahili kuongezeka kuwa ajabu la dunia aisee.
Huku Buza unaweza kuacha mke kisa washkaji hawajaridhika nae tu, achilia mbali mawifi na wakwe.
Huku kwetu shabiki wa mpira anayo mamlaka kamili...
Haiwezezekani mafuriko,magonjwa,njaa, ukosefu wa ajira vyote vitupige.....
Natamani mheshimiwa atuongezee siku za maombi Kama yale ya mussa huko mlima Sinai.
NB mkiufuta pia fresh tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo hivyo yaani. I wish I were a teacher. Si mnaona sasa hii kitonga ya siku thelathini inavyonipita kifala tu yaani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello,
Tusimame na hili neno: "Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi siyo nyingi, nazo zimehesabiwa kwa hesabu ya miezi yake, na hizi siku zake kidogo zimejaa taabu"
Kila kitu kina maumivu yake. Hakuna furaha timilifu duniani.
Ukiwa tajiri maadui ni wengi sana
Ukiwa dhalili...
Waja hamjambo? Habari ya jumapili waja.
Enyi waja, enyi waja! mjuao kila jambo litendekalo chini ya jua, mbona hamkuijua siku ya kuzaliwa kwenu? Hata siku ya mauti yenu hamuijui waja.
Mnazijua aibu na fedheha za kila mtu na hufurahia kuzitangaza huku mkizisitiri za kwenu. Enyi waja mumuabuduo...
Najaribu kuwaza tu. Mfano akatokea kiongozi mmoja mwenye akili kama mimi akaanzisha Kijiji cha mfano labda Kisarawe huko.
Kiwe na shule ya msingi na sekondari. Kiwe na soko na maduka ya bidhaa muhimu,kiwe na msikiti na kanisa . Mwisho kiwe na ukumbi wa mikutano.
Kila mkazi awe na 50 square...
Karibuni kwenye hii safari. Huo utakuwa ni mwaka 2030.na dunia itakuwa hivi,
Mti wowote ule utakuwa ni kivutio Cha utalii.
Wavulana waliooa wabibi watakuwa ni 75%
Hakutakuwa na bikra mwenye miaka 10.
Watu wenye elimu ya PhD watachoma mahindi mtaani,nayo yatakuwa mali adimu
Wataoa asubuhi na...
Wakuu nimekaa nawaza kuhusu kuondoka kwa wayahudi Misri kuliacha athari gani kijamii na kiuchumi huko Misri.
Sote tunajua walikuwa ni watumwa,walifyatua matofali na kujenga mapiramidi. Sasa wanapoondoka huko wanaendelea kutuelezea tu safari yao jangwani mpaka kaanan.
Lakini je huko walipotoka...
Mambo vipi waheshimiwa.
Mabaharia wangu si mnajua vile unakuwa unasumbuliwa sana na wife/demu home. Mara hivi mara vile, ugomvi kidogo anatishia kukuacha.
Sasa akileta habari hizo wewe jitoe ufahamu siku moja umwambie unamuacha wewe. Utanishukuru baadaye!
Kwa nini ukubali kuachwa? Ukipigwa...
Hamjambo wandugu,
Mada yangu yaleo ni hiyo hapo juu. Kuna wakati unaweza kuwaumiza Sana watu wako wa thamani kwa sababu tu ya mambo uliyoyafanya huku ukishangiliwa na watu wasiokuwa na thamani kwako.
Mfano unapoongoza mgomo chuoni kwa sababu za msingi au zisizo za msingi, unaonekana shujaa...
Salaam.
Aisee nimeota ndoto inanitatiza. Niliiona ninazikwa kaburini na kufukiwa kabisa.
Halafu nikainuka na kusimama juu ya kaburi langu nakucheka sana huku aliyenizika anatimua mbio.
Nikalala tena nikaota nalishwa vitu sivijui, nikavitema vyote na kutapika sana, niliposhtuka nikawa na...
Heri ya mwaka mpya.
Hakuna mtu anayependa uongo jamani hapa tusidanganyane..kila mtu anapenda ukweli. Iwe kwenye biashara, mapenzi ,siasa au popote pale. Ukweli ni muhimu.
Tatizo ni pale unapotaka kuambiwa ukweli ambao hupendi kujiambia.
Tuanze mwaka kwa kujiambia ukweli.
Ukishindwa sema...
Tahadhari kabla ya ajali,
Hizi mambo za kujifanya mna mapenzi sana mpaka mnaua watoto wa watu ziishie hapa 2019. Tumechoka kuja kuwaona gerezani.
Tunakumbushana tena usisomeshe mwanamke. Kama baba yake hakumsomesha wewe ni nani!
Acha ujinga umemtamani bila elimu ishi naye hivyo hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.